Kambi ya Jeshi Gongo la Mboto ihamishwe kijengwe kituo cha basi

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
57,091
94,858
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.

Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.

Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile ilikuwa sahihi, lakini sasa hivi dunia imehama hatuko huko tena kuna vita za kiteknolojia, haya makambi mijini ni useless kabisa.

Nimepita leo kambi ya gongo la mboto nimeshangaa kuona jeshi liko bize na ujasiriamali wa fremu za biashara kwa sababu kambi iko barabarabani hili siyo sahihi hii ni miradi ya watu wakubwa jeshini.

Gongo la mboto ni route ya magari mbalimbali ya safari za jijini lakini hakuna bus terminal, ni kwa nini kambi kama hii ya gongo la mboto isihamishwe na kupisha matumizi ya umma badala ya kugeuza eneo la jeshi kama mgodi wa watu flani?

Najuwa Rais hapendi kulikera jeshi lakini kwa hili hakuna manufaa yoyote kwa jeshi zaidi ya ulaji wa maboss wachache wa jeshi.

Muda wa kufumbia macho maovu na ufisadi kwenye jeshi letu umepita sasa ni lazima tuambiane ukweli, mama mulika makambi ya jeshi Dar, omba ushauri wa kisasa kwa Military analyst achana na wale wenye akili za kijima kwamba Zanzibar ni muhimu kwa Tanganyika kwa sababu za kiusalama, wewe waulize Iran aliporusha drones zake Israel alipitia nchi jirani?
 
Kiswahili sahihi kwa mwanamke ni Ameri Jeshi Mkuu.

Alisema CDF.

Naunga mkono hoja yako, kambi zimejaa watu wa hovyo wenye akili ndogo za udalali tu..... hata hapa Lugalo kambi imezungukwa na mabanda hata huwezi kuita fremu.

Kukosa vita pia inapelekea wahusika kusahau jukumu lao la msingi.
 
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.

Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.

Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile ilikuwa sahihi, lakini sasa hivi dunia imehama hatuko huko tena kuna vita za kiteknolojia, haya makambi mijini ni useless kabisa.

Nimepita leo kambi ya gongo la mboto nimeshangaa kuona jeshi liko bize na ujasiriamali wa fremu za biashara kwa sababu kambi iko barabarabani hili siyo sahihi hii ni miradi ya watu wakubwa jeshini.

Gongo la mboto ni route ya magari mbalimbali ya safari za jijini lakini hakuna bus terminal, ni kwa nini kambi kama hii ya gongo la mboto isihamishwe na kupisha matumizi ya umma badala ya kugeuza eneo la jeshi kama mgodi wa watu flani?

Najuwa Rais hapendi kulikera jeshi lakini kwa hili hakuna manufaa yoyote kwa jeshi zaidi ya ulaji wa maboss wachache wa jeshi.

Muda wa kufumbia macho maovu na ufisadi kwenye jeshi letu umepita sasa ni lazima tuambiane ukweli, mama mulika makambi ya jeshi Dar, omba ushauri wa kisasa kwa Military analyst achana na wale wenye akili za kijima kwamba Zanzibar ni muhimu kwa Tanganyika kwa sababu za kiusalama, wewe waulize Iran aliporusha drones zake Israel alipitia nchi jirani?
Hoja ya msingi kabisa
Pia kama kuna waziri mwenye dhamana humu tunaomba mods watusaidie kumtag
 
Umeongea point sana mkuu. Gongola mboto wanajenga mwendokasi sasa sijui kituo wanaenda kuweka wapi?
Nakumbuka miaka ile nakwenda Pugu SS kusoma tuitions za practicals kituo cha mwisho kilikua Gongo la Mboto mwisho wa lami. Kule mbele kulikua kijijini.
Naona nao wameamua kuiga Kawe wanajenga frames. Hiyo sio kazi ya jeshi.
Hata ile kambi pale Lugalo ihame. Wanajeshi wakakae huko mipakani.
 
Back
Top Bottom