SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,338
- 6,955
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Kwahiyo Polisi ni Mashetani?Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Una mungu wa ajabu sana wewe...
Embu kwa dakika wachana na Ushabiki wa kuchanganya dini na siasa, na UCHADEMA
Rudia tena usome nillichobandika.
Ni hivi, kama ni kweli Polisi wanadhamiria kumkamata , wanashindwa nini kumkamata halafu ndio watoe Taarifa kwamba ameitwa au kukamatwa kwa 'upotoshaji wa umma' na kwa 'lengo la kuleta taharuki' Uchonganishi wa raia na polisi?
Shetani amwingie Jakobo, umsingizie polisi. Jakobo sio Mungu wa yeyote yule.