Kimalkia siyo mchezo....it's very shame
Kimalkia siyo mchezo....it's very shame
wewe endelea na unachoamini, wacha jeshi lifanye kazi yakeIla haina evidence ni maneno matupu wananchi watajuaje kama ni taarifa za ukweli au ni porojo tu
ficha mbupu lakoFicha ujinga basi.
Tangu Lini Mochwari za Polisi zikaanza kutunza Maiti za Raia waliokufa kwa ajali ? Huyu Muliro hana hata haya kusimama mbele ye Media na kuwahadaa wananchi ?Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linatoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa ya uongo na uzushi inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kifo cha Robart Mushi @ Babu G. ambaye picha yake imeambatanishwa kwenye taarifa hizo kuwa alipotea tarehe 11 Aprili, 2024 na baadae kugundulika katika Chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Polisi Kilwa Road huku ikidaiwa Polisi kuhusika na kifo hicho kwa kumuua..
Ukweli ni kwamba tarehe 11 Aprili, 2024 majira ya saa 10 Alfajiri Askari Polisi wa Usalama barabarani alipewa taarifa na mwananchi kuwa eneo laTaa za kuongozea magari za Buguruni, Ilala mtu mmoja mwanaume aliyekuwa akivuka barabara eneo hilo la Kimboka kuelekea Chama aligongwa na gari ambalo halikusimama (hit and Run).
Mtu huyo alipata majeraha makubwa kichwani, kifuani na eneo la chini la mgongo na kisigino cha mguu wa kulia. Eneo hilo lina watu wengi ambao wanakesha kwa biashara mbalimbali na walishuhudia tukio hilo.
Mtu huyo alipelekwa haraka hospitali ya Amana na Polisi lakini baada ya kumfikisha Madaktari walibaini kuwa mtu huyo alikuwa tayari amekwishafariki, Kwa sababu chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali ya Amana kilikuwa hakina nafasi, ilishauriwa akahifadhiwe kwenye Hospitali ya Jeshi la Polisi iliyo barabara ya Kilwa Temeke ambayo inatoa huduma hata kwa raia kuhusiana na suala hilo.Tarehe 21.4,2024 ndugu wa marehemu walipatikana na wakautambua mwili wa ndugu yao kwani hakuwa na kitambulisho wala simu. Taratibu za mwisho za mazishi zinafanywa ili akazikwe.
Kutokana na taharuki iliyotengenezwa na kujengwa kwa makusudi na mtu anayejiita Malisa gj na Bonoface Jacob ambao kwenye “post” zao walionesha nia ya wazi ya kutengeneza chuki dhidi ya Polisi na Serikali kwa wananchi kuwa mtu huyo aliyepata ajali alikuwa ameuawa na Polisi , Kitendo kilichofanywa na watu hao ni kosa kisheria na hakivumiliki na lazima Jeshi lichukue hatua za kisheria dhidi ya wahusika ikiwa ni pamoja na kuwakamata , kuwahoji kwa kina na kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo.
Jeshi la Polisi halitavumilia watu ambao wanaibuka na taarifa za uongo na uzushi ambazo zinalenga kujenga chuki na taharuki kwa wananchi. Jeshi litaendelea kusimamia misingi ya kisheria na halitakuwa na huruma kwa mtuhumiwa yoyote wa kihalifu na litamshughulikia haraka iwezekanavyo kwa mujibu wa sheria.
Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Pia soma:
Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
umefikiri kwa kutumia kariooo
atangazwe yeye ni nani
Labda walitaka kuufanya uwe cadaver ( dead human body used in scientific and medical research).Tangu tarehe 10 April mpaka jana tarehe 22 April Polisi walishindwa kutangaza kuokotwa kwa maiti ya mtu huyo ‘aliyegongwa na gari’ pamoja na jitihada zote za ndugu zake kumtafuta? Waliuhifadhi huo mwili ili iweje?
Maeneo ambayo ndugu walimtafuta ni pamoja na vituo vua Polisi, je Polisi walishindwa kuangalia kwenye Mortuary yao?
Naunga mkono hojaNina wasi wasi kama wewe ni mwanaume.
Eti Amana mochwari ilijaa wakampeleka Hospitali ya Jeshi la Polisi ??? Kwa nini hakupelekwa mUhimbili au hospitali ya Temeke ???
Hii kesi nyepesi sana kwa ex mayor Jacob
Nafikiri Kamanda Muliro anapaswa kuona aibu kuzungumzia baadhi ya Mambo yanayolichafua Jeshi la Polisi kama tukio hili. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara na hekima zaidi kuliko kutoa taarifa ambayo inazua utata mkubwa ktk jamii sambamba kukuondolea credibility ktk jamii hiyo.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linatoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa ya uongo na uzushi inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kifo cha Robart Mushi @ Babu G. ambaye picha yake imeambatanishwa kwenye taarifa hizo kuwa alipotea tarehe 11 Aprili, 2024 na baadae kugundulika katika Chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Polisi Kilwa Road huku ikidaiwa Polisi kuhusika na kifo hicho kwa kumuua..
Ukweli ni kwamba tarehe 11 Aprili, 2024 majira ya saa 10 Alfajiri Askari Polisi wa Usalama barabarani alipewa taarifa na mwananchi kuwa eneo laTaa za kuongozea magari za Buguruni, Ilala mtu mmoja mwanaume aliyekuwa akivuka barabara eneo hilo la Kimboka kuelekea Chama aligongwa na gari ambalo halikusimama (hit and Run).
Mtu huyo alipata majeraha makubwa kichwani, kifuani na eneo la chini la mgongo na kisigino cha mguu wa kulia. Eneo hilo lina watu wengi ambao wanakesha kwa biashara mbalimbali na walishuhudia tukio hilo.
Mtu huyo alipelekwa haraka hospitali ya Amana na Polisi lakini baada ya kumfikisha Madaktari walibaini kuwa mtu huyo alikuwa tayari amekwishafariki, Kwa sababu chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali ya Amana kilikuwa hakina nafasi, ilishauriwa akahifadhiwe kwenye Hospitali ya Jeshi la Polisi iliyo barabara ya Kilwa Temeke ambayo inatoa huduma hata kwa raia kuhusiana na suala hilo.Tarehe 21.4,2024 ndugu wa marehemu walipatikana na wakautambua mwili wa ndugu yao kwani hakuwa na kitambulisho wala simu. Taratibu za mwisho za mazishi zinafanywa ili akazikwe.
Kutokana na taharuki iliyotengenezwa na kujengwa kwa makusudi na mtu anayejiita Malisa gj na Bonoface Jacob ambao kwenye “post” zao walionesha nia ya wazi ya kutengeneza chuki dhidi ya Polisi na Serikali kwa wananchi kuwa mtu huyo aliyepata ajali alikuwa ameuawa na Polisi , Kitendo kilichofanywa na watu hao ni kosa kisheria na hakivumiliki na lazima Jeshi lichukue hatua za kisheria dhidi ya wahusika ikiwa ni pamoja na kuwakamata , kuwahoji kwa kina na kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo.
Jeshi la Polisi halitavumilia watu ambao wanaibuka na taarifa za uongo na uzushi ambazo zinalenga kujenga chuki na taharuki kwa wananchi. Jeshi litaendelea kusimamia misingi ya kisheria na halitakuwa na huruma kwa mtuhumiwa yoyote wa kihalifu na litamshughulikia haraka iwezekanavyo kwa mujibu wa sheria.
Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Pia soma:
Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
Ndugu wepi hao wanaokubaliana na maelezo ya Polisi???Ila ukisikiliza maelezo ya Kamanda Muliro, kuna namna Jacob kakosea. Inaonyesha kuwa hata ndugu zake na huyo Marehemu wamekubaliana na maelezo ya Polisi.
Na wanajua baba yake Malisa GJ ni Inspekta mstaafu anajua figisu zao zote.Inasikitisha Serikali kutumia kodi zetu Kumsafirisha Malisa G.J hadi Moshi kwenda kufanya Upekuzi.
Yaani Polisi wanafikiria wakienda moshi watapata ushahidi wowote? Kama ndugu wanajua polisi wanakuja si watatoa kila kitu wabakize makochi na vitanda tu ndani?
Na wanajua baba yake Malisa GJ ni Inspekta mstaafu anajua figisu zao zote.
Huyo anaefeki kifo ana dukuduku/ lengo lake!
Imekuaje tena huko mkuu hebu tuhabarisheInasikitisha Serikali kutumia kodi zetu Kumsafirisha Malisa G.J hadi Moshi kwenda kufanya Upekuzi.
Yaani Polisi wanafikiria wakienda moshi watapata ushahidi wowote? Kama ndugu wanajua polisi wanakuja si watatoa kila kitu wabakize makochi na vitanda tu ndani?