Aliye kuambia Kenya ni bei nafuu ni nani. Ukiangalia bei ya Kenya ni kubwa zaidi ya Tanzania.Huwa nashindwa kuelewa Kwa Nini udaktari tz ni bei kubwa sana kuliko Kenya na Uganda?
Nilitaka ku-comment nilipoona umemjibu nikasema nisome kwanza kwa kuwa nilikuwa na uhakika utakuwa umempa jibu sahihi. Tatizo la Tanzania ni kuwa watu wanachukulia elimu kama njia ya kupata ajira tu. Yaani watu wankwenda shule ili waajiriwe sehemu nzuri, basi. Ndiyo maana elimu yetu imekuwa na ya kukariri na kusomea kushinda mitihani ili tupate vyeti. Hili limefanya tuwe na ''wasomi'' wengi ambao hawaajiriki popote kwa sababu licha ya kuwa na vyeti, lakini hawana knowledge ya kutosha.Kwa hiyo hamtaki kuwa na madaktari wa kutosha?
Hamtaki kugundua mambo katika utabibu?
Mnaishia kufikiria mshahara tu?
Kwani lazima mtu mwenye ujuzi wake afanye kazi Tanzania?
Kwa taarifa yenu hiyo ada ukiiweka katika viwango vya kimataifa ni ndogo sana, tatizo uchumi wenu mdogo tu.
Kwenda medical school kwa ada ya milioni 6.4 kwa mwaka itakuwa ni kati ya ada rahisi kabisa duniani. Kuna watu wanalipa zaidi ya ada hiyo kusomesha watoto shule ya msingi tu. Hapo hapo Tanzania.
Kuna nchi hiyo ni ada ni robo ya ada ya mwaka mmoja tu.
Ulipiwe mamilioni yote hayo, halafu uwe JOBLESS, lazima uchanganyikiwe.
Mbona wanasemaga 5MHapana Mkuu Daktari Bingwa Anaanza na Mshahara wa TGHS G ambao ni sawa na Tsh 2,270,000/ Basic..
Labda kama ni private ila kwa serikali huo ndio mshahara..
Ukiona watu wanalia Mtuhurumie..
Kupanga ni kuchagua.Kwahyo apo +6 ya MD unakuwa umesoma miaka 10 ili uje ulipwe 2M per month ambayo take home ni 1.5M
Muulize Mpwayungu Village education Udsm apo Tshs 1 mil je is it worth?
Wamekudanganya NI 2.27 Milion kwa Mishahara Mipya kwa Wanaoingia TGHS G yaani Daktari Bingwa wa MMED..Mbona wanasemaga 5M
hii 32,769,250 ikiwa kama mtaji wa biashara kwa form4 failure anaanza nayo, nina uhakika ndani ya miaka miwili huyu mtu akiwa na bidii ya kazi atakua na mtaji wa 100MView attachment 2893856
Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250
Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo
Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?
Ni tatizo kubwa sana. Kuna jamaa mmoja anafanya kazi serikalini alikuwa anasema yeye kaenda kusoma ili aongeze mshahara.Nilitaka ku-comment nilipoona umemjibu nikasema nisome kwanza kwa kuwa nilikuwa na uhakika utakuwa umempa jibu sahihi. Tatizo la Tanzania ni kuwa watu wanachukulia elimu kama njia ya kupata ajira tu. Yaani watu wankwenda shule ili waajiriwe sehemu nzuri, basi. Ndiyo maana elimu yetu imekuwa na ya kukariri na kusomea kushinda mitihani ili tupate vyeti. Hili limefanya tuwe na ''wasomi'' wengi ambao hawaajiriki popote kwa sababu licha ya kuwa na vyeti, lakini hawana knowledge ya kutosha.
Asiweke ada halafu Ganzi, MRI, x-ray, ultra sound, sphygmomanometer, stethoscope n.k. utampelekea wewe? Unakichwa Cha kubebea masikio.Kama mwenye chuo angethamini hizo roho asingeweka ada. Au serikali ingelipa ada zote bure