Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,820
33,543
the.students_1707034277511.jpeg

Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250​


Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo

Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?
 
Kwahiyo inakuwa around 45 millions.
Ni mjinga pekee atatoa hiyo pesa ili mwanae aajiriwe kwa shida na kulipwa milioni 1.

Ikumbukwe pia mtaani kuna madaktari waliokosa ajira , wamekwenda private wanalipwa laki 6 , laki 7 au pungufu. Na kupata huko private mpaka uunganishwe.

Mgambo miezi , 3 bure Mwembeyanga ukipata ajira Bandari kama mlinzi mshahara wako unamzidi Daktari.

Vijana machaguo ni yenu
 
Kwa hiyo hamtaki kuwa na madaktari wa kutosha?

Hamtaki kugundua mambo katika utabibu?

Mnaishia kufikiria mshahara tu?

Kwani lazima mtu mwenye ujuzi wake afanye kazi Tanzania?

Kwa taarifa yenu hiyo ada ukiiweka katika viwango vya kimataifa ni ndogo sana, tatizo uchumi wenu mdogo tu.

Kwenda medical school kwa ada ya milioni 6.4 kwa mwaka itakuwa ni kati ya ada rahisi kabisa duniani. Kuna watu wanalipa zaidi ya ada hiyo kusomesha watoto shule ya msingi tu. Hapo hapo Tanzania.

Kuna nchi hiyo ni ada ni robo ya ada ya mwaka mmoja tu.
 
View attachment 2893856

Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250​


tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo


swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?
Huyu angalau anaunafuu fulani ila vyuo vingine vya peivate kwa mwaka ni zaidi ya 8m kama St Francis Mwanza university registration too ni laki tano na analipwa kila semister kampala internatinal ada yao 7m ila mengine mpaka 8m, kwa kweli hiyo pesa ni ndogo ukilinganisha na vyuo vya nje ila uchumi wetu ni mdogo sana mtoto wa mkulima hawezi hizo millioni zote.
 
Kwa hiyo hamtaki kuwa na madaktari wa kutosha?

Hamtaki kugundua mambo katika utabibu?

Mnaishia kufikiria mshahara tu?

Kwani lazima mtu mwenye ujuzi wake afanye kazi Tanzania?

Kwa taarifa yenu hiyo ada ukiiweka katika viwango vya kimataifa ni ndogo sana, tatizo uchumi wenu mdogo tu.

Kwenda medical school kwa ada ya milioni 6.4 kwa mwaka itakuwa ni kati ya ada rahisi kabisa duniani. Kuna watu wanalipa zaidi ya ada hiyo kusomesha watoto shule ya msingi tu. Hapo hapo Tanzania.

Kuna nchi hiyo ni ada ni robo ya ada ya mwaka mmoja tu.

Mkuu,

Yeye alichouliza je hiyo ada ina worth na elimu inayotolewa pale?

Inawezekana ikawa ni gharama nafuu ukilinganisha na mataifa mengine hilo hata mimi sipingi na ni shahidi kabisa..

Lakini je tabibu wa hapo ana kitu gani cha ziada ukilinganisha na tabibu wa MUHAS, CUHAS, MUCHAS au vyuo vingine vya Afya?
 
Kwahiyo inakuwa around 45 millions.
Ni mjinga pekee atatoa hiyo pesa ili mwanae aajiriwe kwa shida na kulipwa milioni 1.
Ikumbukwe pia mtaani kuna madaktari waliokosa ajira , wamekwenda private wanalipwa laki 6 , laki 7 au pungufu. Na kupata huko private mpaka uunganishwe.
Mgambo miezi 5 bure Mwembeyanga ukipata ajira Bandari kama mlinzi mshahara wako unamzidi Daktari.
Vijana machaguo ni yenu
Muuza chips tu kwa siku akikosa anakunja elfu 30, faida, kwa mwezi laki ,9
 
Back
Top Bottom