Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,276
- 21,690
Kwa mimi mnywa gambe hapa umenipata hasa kwenye kupunguza hangover.Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
Kwa mimi mnywa gambe hapa umenipata hasa kwenye kupunguza hangover.Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
Sijaelewa uje home tufanye pamoja eeI hope mko vyema
Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana
Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani
LEMONADE MOCKTAIL mahitaji
Glass 1
Msukumio au kifaa Cha kupondea mchanganyiko wako
Ndimu/limao 1
Majani ya mnanaa(mint)
Sukari kijiko kimoja sio lazima unaweza usiweke kama hupendi sukari au ukaweka kidogo
Soda nyeupe(sprite)
Vipande vya barafu(icecubes)
Namna ya kutengeneza
1.kata ndimu Yako slice 4 weka Tatu kwenye glass moja acha kwaajili ya kupambia
weka na majani 5 ya mint pamoja na sukari kiasi upendacho
2.chukua kifaa Cha kupondea ulichooandaa Kama ni msukumio au chochote anza kuponda mchanganyiko wako taratibu Kwa sekunde 30
3.weka vipande vya barafu(icecubes) kwenye glass yenye mchanganyiko wako
Weka slice ya ndimu ilobaki kama pambo
4.miminia soda ya sprite kwenye glass Yako koroga tayari Kwa kunywa
Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
NB kama utatumia limao bas weka kiasi kama ni kubwa sio lazima kutumia lote
Nawatakia weekend njema
😍Nawapenda View attachment 2907979View attachment 2907984View attachment 2907986
Na umri wangu wote nilikuwa sijui kama Mint ndo Mnanaa kwa kuswahili..I hope mko vyema
Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana
Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani
LEMONADE MOCKTAIL mahitaji
Glass 1
Msukumio au kifaa Cha kupondea mchanganyiko wako
Ndimu/limao 1
Majani ya mnanaa(mint)
Sukari kijiko kimoja sio lazima unaweza usiweke kama hupendi sukari au ukaweka kidogo
Soda nyeupe(sprite)
Vipande vya barafu(icecubes)
Namna ya kutengeneza
1.kata ndimu Yako slice 4 weka Tatu kwenye glass moja acha kwaajili ya kupambia
weka na majani 5 ya mint pamoja na sukari kiasi upendacho
2.chukua kifaa Cha kupondea ulichooandaa Kama ni msukumio au chochote anza kuponda mchanganyiko wako taratibu Kwa sekunde 30
3.weka vipande vya barafu(icecubes) kwenye glass yenye mchanganyiko wako
Weka slice ya ndimu ilobaki kama pambo
4.miminia soda ya sprite kwenye glass Yako koroga tayari Kwa kunywa
Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
NB kama utatumia limao bas weka kiasi kama ni kubwa sio lazima kutumia lote
Nawatakia weekend njema
😍Nawapenda View attachment 2907979View attachment 2907984View attachment 2907986
Kwanini umuachishe mtu pombe? Roho mbaya hiyo au kama vipi subiri roho mtakatifu amshukieMimi natafuta dawa ya kumuachisha mtu pombe hebu walev wenzie nipeni 🤣🤣🤣
Auntie wa Junia kama Auntie
Hii ni Mojito Virgin eeh..I hope mko vyema
Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana
Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani
LEMONADE MOCKTAIL mahitaji
Glass 1
Msukumio au kifaa Cha kupondea mchanganyiko wako
Ndimu/limao 1
Majani ya mnanaa(mint)
Sukari kijiko kimoja sio lazima unaweza usiweke kama hupendi sukari au ukaweka kidogo
Soda nyeupe(sprite)
Vipande vya barafu(icecubes)
Namna ya kutengeneza
1.kata ndimu Yako slice 4 weka Tatu kwenye glass moja acha kwaajili ya kupambia
weka na majani 5 ya mint pamoja na sukari kiasi upendacho
2.chukua kifaa Cha kupondea ulichooandaa Kama ni msukumio au chochote anza kuponda mchanganyiko wako taratibu Kwa sekunde 30
3.weka vipande vya barafu(icecubes) kwenye glass yenye mchanganyiko wako
Weka slice ya ndimu ilobaki kama pambo
4.miminia soda ya sprite kwenye glass Yako koroga tayari Kwa kunywa
Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
NB kama utatumia limao bas weka kiasi kama ni kubwa sio lazima kutumia lote
Nawatakia weekend njema
😍Nawapenda View attachment 2907979View attachment 2907984View attachment 2907986
Mkuu,aje home tena?Sijaelewa uje home tufanye pamoja ee
Mi nishazoea ambazo sio virgin sasa nikinywa hiyo si ndo ntaona kama nakunywa Dawa 😅😅...Ndio virgin
Nyie walevi mtaongezea mambo yenu kama kawa 😀😀😀
Asante😂Hahhha
mara ya pili nakuzoom kabadilisha I'd au nayo ni yake. jibu fupi we komweKwa mtu kama Mad Max unamwongezea na rum 🔥 View attachment 2908014
Sijawahi kukuelewa 😂mara ya pili nakuzoom kabadilisha I'd au nayo ni yake. jibu fupi we komwe
hiyo ni I'd ya C.H ?Sijawahi kukuelewa 😂
Kwingine kote unikosha ila kutengeneza kinywaji kwa kutegemea kinywaji kingine haijakaa muruwa!!!Soda nyeupe(sprite)