Jinsi ya kuongeza ufanisi wa kutunza kumbukumbu za biashara

ElietSe

Member
Jul 30, 2021
5
7
Kutunza taarifa za biashara ni eneo la muhimu kwa kila mfanyabiashara. Hii husaidia kujua mali ilyotoka, iliyoingia, mali zilizopo, madeni, mauzo na faida au hasara iliyopatikana.
Wengine hutunza taarifa zao kwa kutumia vitabu maalum na wengine hutumia digital tools kama computer au simu.
Binafsi napendelea zaidi mifumo ya kwenye computer kwasababu yenyewe hurahisisha kazi huku ikiongeza ufanisi. Inarahisisha kazi kwasababu ukishaingiza mauzo yako, yenyewe itakokotoa faida iliyopatikana na inatengeneza ripoti.
Lakini pia inakokotoa mzigo uliobaki dukani baada ya kuuza, ukikaribia kuisha inakupa taarifa mapema.
Inaweza kutoa mchanganuo wa mauzo kuonyesha bidhaa inayopendwa zaidi au isiyonunuliwa na nyingine.
Inaweza kutengeneza report mbalimbali iwe kwa siku/wiki/mwezi.
Kwa anaehitaji kujua zaidi kuhusu hii mifumo ya computer , karibu kwenye comments.
 
Kutunza taarifa za biashara ni eneo la muhimu kwa kila mfanyabiashara. Hii husaidia kujua mali ilyotoka, iliyoingia, mali zilizopo, madeni, mauzo na faida au hasara iliyopatikana.
Wengine hutunza taarifa zao kwa kutumia vitabu maalum na wengine hutumia digital tools kama computer au simu.
Binafsi napendelea zaidi mifumo ya kwenye computer kwasababu yenyewe hurahisisha kazi huku ikiongeza ufanisi. Inarahisisha kazi kwasababu ukishaingiza mauzo yako, yenyewe itakokotoa faida iliyopatikana na inatengeneza ripoti.
Lakini pia inakokotoa mzigo uliobaki dukani baada ya kuuza, ukikaribia kuisha inakupa taarifa mapema.
Inaweza kutoa mchanganuo wa mauzo kuonyesha bidhaa inayopendwa zaidi au isiyonunuliwa na nyingine.
Inaweza kutengeneza report mbalimbali iwe kwa siku/wiki/mwezi.
Kwa anaehitaji kujua zaidi kuhusu hii mifumo ya computer , karibu kwenye comments.
Mkuu mbona hujarudi kutoa maarifa ya huo mfumo
 
Hebu tuelekeze tunapataje huo mfumo wa computer na ni kwa gharama gani?
Zipo za one time payment ambazo ni za desktop na hazitumii internet, na nyingine ni web based zina payment kila mwezi. Ya web based unaweza kutumia hata kwenye simu ikiwa na internet.
nicheki pm nikupe links za demo
 
Back
Top Bottom