Sehemu ya 1
Mimi ni mfanyakazi katika taasisi mojawapo iliyopo chini ya wizara ya elimu iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha (Tengeru). Makazi yangu yapo jijini Arusha. Muda mrefu nimekuwa kwenye mgogoro mkubwa wa ndoa na mke wangu jambo lililonipelekea kutafuta mchepuko wa kuupooza moyo wangu.
Katika harakati zangu za kusafiri kutoka kazini Tengeru na kwenda nyumbani siku moja nikiwa narudi kutoka kazini ilitokea nikakaa siti ya mbele na mama mmoja mrembo ambaye badaye alijitambulisha kwangu kwa jina la Praxeda (si jina halisi). Tukiwa kwenye siti ya mbele pamoja tulipiga story na mwisho kubadilishana namba.. Lengo la kubadilishana namba ni kwambd mimi nilishamwelewa Praxeda.
Baada ya hapo salamu za hapo zikiendelea na hatimaye nilimuambia kusudio la moyo wangu.
Mimi, '' Praxeda ujue nakupenda sana''
Praxeda"; '' Nimepita kwenye misukosuko mingi sana ya kimapemzi, nilikuwa nahitaji nipumzike kwa sasa"'
Niliendelea kumshawishi Praxeda na hatimaye tukapanga kukutana Kijenge Mwanama amvako ndiko jirani na nyumbani kwwke Praxeda.
Ilipofika weekend iliyofuata tulilikukutdna ambapo mimi nilihakikisha nampatia Praxeda heavy lunch kama sehemu ya kumshawishi Praxeda awe nami kimahusiano.
Katika mazungumzo nikafahamu kuwa Praxeda ni single mother mwenye watoto watatu na mtumishi wa idara ya mazingira katika ofisi ya mkurugenzi halmashauri ya Arumeru.
Baada ya kufanya ushawishi mkubwa Praxeda alikubaliana na ombi langu na hivyo tukapanga tukutane siku nyingine kwa ajili ya kufahamiana zaidi..
''''''''''''Itaendelea.''''''''''
Mimi ni mfanyakazi katika taasisi mojawapo iliyopo chini ya wizara ya elimu iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha (Tengeru). Makazi yangu yapo jijini Arusha. Muda mrefu nimekuwa kwenye mgogoro mkubwa wa ndoa na mke wangu jambo lililonipelekea kutafuta mchepuko wa kuupooza moyo wangu.
Katika harakati zangu za kusafiri kutoka kazini Tengeru na kwenda nyumbani siku moja nikiwa narudi kutoka kazini ilitokea nikakaa siti ya mbele na mama mmoja mrembo ambaye badaye alijitambulisha kwangu kwa jina la Praxeda (si jina halisi). Tukiwa kwenye siti ya mbele pamoja tulipiga story na mwisho kubadilishana namba.. Lengo la kubadilishana namba ni kwambd mimi nilishamwelewa Praxeda.
Baada ya hapo salamu za hapo zikiendelea na hatimaye nilimuambia kusudio la moyo wangu.
Mimi, '' Praxeda ujue nakupenda sana''
Praxeda"; '' Nimepita kwenye misukosuko mingi sana ya kimapemzi, nilikuwa nahitaji nipumzike kwa sasa"'
Niliendelea kumshawishi Praxeda na hatimaye tukapanga kukutana Kijenge Mwanama amvako ndiko jirani na nyumbani kwwke Praxeda.
Ilipofika weekend iliyofuata tulilikukutdna ambapo mimi nilihakikisha nampatia Praxeda heavy lunch kama sehemu ya kumshawishi Praxeda awe nami kimahusiano.
Katika mazungumzo nikafahamu kuwa Praxeda ni single mother mwenye watoto watatu na mtumishi wa idara ya mazingira katika ofisi ya mkurugenzi halmashauri ya Arumeru.
Baada ya kufanya ushawishi mkubwa Praxeda alikubaliana na ombi langu na hivyo tukapanga tukutane siku nyingine kwa ajili ya kufahamiana zaidi..
''''''''''''Itaendelea.''''''''''