yap mi naingia second year on October but ada kubwa kitaaluma kipo poa,and it is among of the earliest university in Tanzania
yap mi naingia second year on October but ada kubwa kitaaluma kipo poa,and it is among of the earliest university in Tanzania
Umekosa vyuo? Iringa University ndo chuo gani? Pole sana kwa kwenda hicho chuo,
Pale kusoma hiari na kufaulu lazima.
Je kuna ajira za moja kwa moja kwa coz za education? kam ilivyo kwa vyuo vya government?
Umekosa vyuo? Iringa University ndo chuo gani? Pole sana kwa kwenda hicho chuo,
Pale kusoma hiari na kufaulu lazima.
Watu kama nyie ndio mnaosababisha hata hii nchi haiendelei.
Haujui...unajiuliza...unajijibu...huo ni uchizi.Umekosa vyuo? Iringa University ndo chuo gani? Pole sana kwa kwenda hicho chuo,
Pale kusoma hiari na kufaulu lazima.
Watu kama nyie ndio mnaosababisha hata hii nchi haiendelei.
umekosa vyuo? Iringa university ndo chuo gani? Pole sana kwa kwenda hicho chuo,
pale kusoma hiari na kufaulu lazima.
Ficha upumbavu wako, jamaa kasema point, ila tatizo la watanzania hatupendi ukweli maana unauma. Hicho chuo nakifahamu sana, nimefanya kazi hapo, mwanafunzi anafeli somo, lakini baada ya mwalimu kukabidhi matokeo, baadaye unakuta mwanafunzi amefaulu bila maelezo yoyote.
Umekosa vyuo? Iringa University ndo chuo gani? Pole sana kwa kwenda hicho chuo,
Pale kusoma hiari na kufaulu lazima.