moghasa
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 1,084
- 1,252
- Thread starter
- #21
hii inatokea Nyani Ngabu akiwa anaenda state au akiwa anarudi.Inawezekana sana
uliza kina Nyani Ngabu
wanaondoka Tanzania jumanne na wanafika Marekani jumanne
wakati wametumia masaa hata 20 kusafiri