Daa poa mkuu ngoja nifanyUsiache kabisa. Fursa huwa haziachwi.
Nani amekuambia kwamba lengo langu kumkomoa mke wangu?Achana nayo mkuu ili umkomoe mke wako na hata misaada kutoka kwao unatakiwa kuachana nayo kabisa ili umkomoe mke wako
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Hapana nataka kwenda ila sasa mimi naogopa masemamngo kaka mkuubwa.Hutaki ukweli?
Ukiona hivyo ujue wewe husemi na kumsifia mkeo jinsi yeye na kwao walivyo na mchango katika maisha yako.
Nasema na inaeleweka pale wanaponisaidia huwa na appreciate vizuri tu na hata ndugu zangu huwa nawambia vizuriUkiona hivyo ujue wewe husemi na kumsifia mkeo jinsi yeye na kwao walivyo na mchango katika maisha yako.
Wakati mwingine laana au baraka ni mtu mwenyewe anajitakia...Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Hapana nataka kwenda ila sasa mimi naogopa masemamngo kaka mkuubwa.
Nasema na inaeleweka pale wanaponisaidia huwa na appreciate vizuri tu na hata ndugu zangu huwa nawambia vizuri
Kwani ukipewa msaada wewe wapungukiwa nini?Kivipisasa fafanua maana hii sio thread ya mafumbo
Nenda zako kasome! Ila ukirudi wakwe zako wakutegemee wewe ng'ombe weeeWakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Kwani uongo si unasaidiwa kweli?Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Chukua fursa, itumie ikufaidishe. Ni kweli msaada sio matangazo ila si ulikubali mkawe mwili mmoja na mpendane kwa shida na raha. Haya shida hizo apo pambana nazo kiakili.Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?