Je, nitumie dili niliyopewa ukweni hata kama wife ananitambia?

Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.

Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.

Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.

Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.

Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.

Binafsi huwa sipendi hii tabia.

Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.

Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?

Hutaki ukweli?

Ukiona hivyo ujue wewe husemi na kumsifia mkeo jinsi yeye na kwao walivyo na mchango katika maisha yako.
 
Hutaki ukweli?

Ukiona hivyo ujue wewe husemi na kumsifia mkeo jinsi yeye na kwao walivyo na mchango katika maisha yako.
Hapana nataka kwenda ila sasa mimi naogopa masemamngo kaka mkuubwa.
Ukiona hivyo ujue wewe husemi na kumsifia mkeo jinsi yeye na kwao walivyo na mchango katika maisha yako.
Nasema na inaeleweka pale wanaponisaidia huwa na appreciate vizuri tu na hata ndugu zangu huwa nawambia vizuri
 
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.

Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.

Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.

Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.

Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.

Binafsi huwa sipendi hii tabia.

Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.

Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Wakati mwingine laana au baraka ni mtu mwenyewe anajitakia...
 
Naona my wife wako,fridge lake haligandishi( hajui kutunza siri).Anyway mvumilie na kumpa ukweli wake yale anayokukwaza,ila usiache hiyo mipango kufanya kwani faida ni yenu japo yeye kifua chake ni kama chujio la nazi.
 
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.

Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.

Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.

Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.

Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.

Binafsi huwa sipendi hii tabia.

Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.

Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Nenda zako kasome! Ila ukirudi wakwe zako wakutegemee wewe ng'ombe weee
 
Kwani uongo
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.

Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.

Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.

Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.

Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.

Binafsi huwa sipendi hii tabia.

Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.

Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Kwani uongo si unasaidiwa kweli?
Huyo mkeo piga makofi mawili akili itarejea eneo lake
 
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.

Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.

Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.

Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.

Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata,ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.

Binafsi huwa sipendi hii tabia.

Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma,na hiyo fursa imetoka ukweni.

Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Chukua fursa, itumie ikufaidishe. Ni kweli msaada sio matangazo ila si ulikubali mkawe mwili mmoja na mpendane kwa shida na raha. Haya shida hizo apo pambana nazo kiakili.
 
Kwani Wife si anakwambia Ukweli?
Kubaliana na hilo bila kuona aibu! Nenda Uturuki ukasome,huenda ukitoka huko ikawa ni mlango wa kupata fursa nyingine itakayokutoa hapo!
Hao ndugu wa mkeo wana roho nzuri sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom