lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 423
- 378
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa.
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale Kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata, ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma Uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma, na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?
Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake.
Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki zangu na ndugu zangu nyumbani basi anawaambia hivyo.
Utasikia lile shamba kapewa na baba yangu kasaidiwa sana.
Juzi juzi walinipa connection ya eneo zuri la biashara na fremu pale Kariakoo kitu bacho bila wao nisingeweza kupata, ila wife yatari keshamwambia mdogo wangu wa kike kwamba nimesaidiwa kitu fulani.
Binafsi huwa sipendi hii tabia.
Sasa hapa karibuni kuna fursa ya kwenda kusoma Uturuki chuo fulani ambacho wanakufund na unalipwa ukienda kusoma, na hiyo fursa imetoka ukweni.
Je, niikubali hii fursa wakuu ama niikatae kutokana na wife na kujigamba kwamba wananisaidia sana?