Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 244
- 431
Kuna baadhi ya madili hufichuliwa na kutangazwa kwenye runinga. Mfano, mafuta kwenye bandari bubu nk. Je, wahusika hukosa posho ya kuwapa polisi au Kuna baadhi ya polisi hawapendi posho.
Mimi nimeona madili mengi polisi wakipozwa. Kwanini baadhi ya madili unaitiwa mpaka waandishi wa habari. Je, mmeshindwana kwenye posho au hawataki posho kabisa
Mimi nimeona madili mengi polisi wakipozwa. Kwanini baadhi ya madili unaitiwa mpaka waandishi wa habari. Je, mmeshindwana kwenye posho au hawataki posho kabisa