Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,835
- 4,684
Wakuu,
Nimekaa nikafikiria suala zima la kufunga ndoa, talaka na kufunga ndoa tena.
Najua kuna dini zinakataza talaka na kuna ambazo zinaruhusu mtu kuoa wake wengi kwa wakati mmoja. Lengo hapa sio tuangalie kwa jicho la kidini bali kijamii. Let us factor suala la dini out.
Katika ndoa kuna kukosea, kuna kugombana na kadhalika na ndoa huvunjika wakati mwingine watu wakiwa na umri mdogo hivyo wanaingia kwenye mahusiano mengine na ndoa nyingine kuzaliwa.
Je, ni ndoa ya ngapi mtu akifika tunasema sasa hapana huyu amezidi au huyu atulie tu sasa anazingua?
Na je, namba hii ni tofauti kwa wanaume na wanawake?
Kwanini?
Karibuni
Nimekaa nikafikiria suala zima la kufunga ndoa, talaka na kufunga ndoa tena.
Najua kuna dini zinakataza talaka na kuna ambazo zinaruhusu mtu kuoa wake wengi kwa wakati mmoja. Lengo hapa sio tuangalie kwa jicho la kidini bali kijamii. Let us factor suala la dini out.
Katika ndoa kuna kukosea, kuna kugombana na kadhalika na ndoa huvunjika wakati mwingine watu wakiwa na umri mdogo hivyo wanaingia kwenye mahusiano mengine na ndoa nyingine kuzaliwa.
Je, ni ndoa ya ngapi mtu akifika tunasema sasa hapana huyu amezidi au huyu atulie tu sasa anazingua?
Na je, namba hii ni tofauti kwa wanaume na wanawake?
Kwanini?
Karibuni