Je, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba 2014 na Rais wa sasa, ni watu wawili Tofauti?

Maswali haya muhimu yakupeleke kupata elimu kuhusu CCM kwa mapana zaidi.

CCM ni jinamizi fulani hivi ambalo kimsingi ndo linaongoza nchi. Hao watu unaowaona hapo hawafanyi jambo kwa utashi wao.

JPM as case study itupatie darasa muruwa kuhusu CCM.

Katiba Mpya haitakiwi na CCM hakuna rais atakayetuletea katiba yetu wananchi hadi itoke madarakani
Kumbuka CCM ndiyo iliyokupa amani mpaka Leo unaweza kuandika haya Kwa ujasiri wote. CCM ni taasisi tena imara, lakini Haina maana CCM haiwezi kuwa na watu waovu ambao ni muda tu nao watapotea. Haina maana napinga Katiba mpya no, napinga kunisema CCM wakati Wana CCM nchi nzima wapo walio wazuri na wabaya kama ilivyo Kwa vyama vingine
 
Kumbuka CCM ndiyo iliyokuoa amani mpaka Leo unaweza kuandika haya Kwa ujasiri wote. CCM ni taasisi tena imara, lakini Haina maana CCM haiwezi kuwa na watu waovu ambao ni muda tu nao watapotea. Haina maana napinga Katiba mpya no, napinga kunisema CCM wakati Wana CCM nchi nzima wapo walio wazuri na wabaya kama ilivyo Kwa vyama vingine
CCM imenipa amani?
Watanzania ni watu wa amani. Angalia wanachama wa CCM na idadi ya Watanzania.

Pili ni kwamba, CCM imegeuka jinamizi sasa ndo maana wewe na mimi tunatumia fake IDs humu
 
Kumbuka CCM ndiyo iliyokupa amani mpaka Leo unaweza kuandika haya Kwa ujasiri wote. CCM ni taasisi tena imara, lakini Haina maana CCM haiwezi kuwa na watu waovu ambao ni muda tu nao watapotea. Haina maana napinga Katiba mpya no, napinga kunisema CCM wakati Wana CCM nchi nzima wapo walio wazuri na wabaya kama ilivyo Kwa vyama vingine
Rekebisha hapo,

Mungu ndiye Amani, ndiye atupaye Amani sio CCM.
 
Hapo nakubali mtumishi, nimekosea Mimi nimekosea Mimi nimekosea sana
It's ok,

CCM iliaminiwa na Mungu na kupewa KIBALI kutuongoza wananchi Kwa HAKI,

CCM kama chama kimfumo na kimuundo Bado ni chama kizuri ikiwa tu itafanikiwa kujitenga na mdudu RUSHWA.

Chama hiki kisipotubu na kurudi katika msingi wa uanzishwaji wake, Giza liko mbeleni.

Na huko mbeleni Si mbali,ni hapo tu 2024&2025, na tumepewa kiongozi mwanamke makusudi Ili tucharazwe, tuadhibiwe.

Tukifaniniwa kurekebisha msingi huo Kwa mchakato wa KATIBA salama, basi tutangaa tena,

La, tutafute pa kukimbilia ambako kiuhalisia hapapo pakukimbilia.

Amen
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Itakumbukwa kuwa, kabla ya zoezi la kukusanya maoni ya Katiba chini ya Warioba, Katiba hii ya 1977 ilitolewa copy na kugawiwa Kwa wananchi tuisome na kuelimishana vijiweni masokoni na sehemu mbalimbali na zoezi hili lilifanikiwa vizuri!!

Kutuambia turudi Kuelimishwa tena na watu watu wale wale Kwa miaka 3,wakati tunayo Rasimu ya Warioba kabatini ya kuanzia mnatuonaje wananchi,

Je, Wawili Hawa ni UMOJA au ni wawili Tofauti Kila Mmoja Kwa nafasi yake?

1. Je, mchakato wa KATIBA mpya Awamu ya nne ulikuwa na dosari zipi Hadi turudie kuanza Kutoa ELIMU Kwa miaka mitatu mfululizo?

2. Je, utafiti upi ulifanyika kuonyesha Watanzania hatujui Katiba iliyopo?

3. Je, wote walioshiriki katika mchakato wa KATIBA Awamu ya nne wanawajibika vipi Kwa pesa za umma zilizotumika?

4. Je, ni sawa kiongozi mmoja kuwa na ndimi mbili bila kuwajibishwa Kwa kauli zake?

5. Je, ni athari zipi zitatokea ikiwa tutaingia uchaguzi ujao bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi?



Maswali ni mengi, karibuni🙏
Hiyo elimu ya katiba ni mbinu za kula pesa za wananchi na kuchelewesha kwa makusudi mchakato wa katiba mpya kwa maslahi ya Ccm.
 
Hiyo elimu ya katiba ni mbinu za kula pesa za wananchi na kuchelewesha kwa makusudi mchakato wa katiba mpya kwa maslahi ya Ccm.
Pesa hizo zingetumika kuhakikisha angalau watoto shule za kata wanapata japo uji shuleni Ili waelewe wafundishwacho na walimu wao!!
 
Ile Tume huru ya Uchaguzi iliyotokana na maoni ya wananchi ndio hii?
 
Back
Top Bottom