Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,732
- 35,113
Worry out.....kuwa makini mkuu na Afya yakoNilifata pep nikapima niko saw, nikaanza pep ndan ya saa 13 tu na mpaka leo nina siku 10 nameza pep kaka
Worry out.....kuwa makini mkuu na Afya yakoNilifata pep nikapima niko saw, nikaanza pep ndan ya saa 13 tu na mpaka leo nina siku 10 nameza pep kaka
Hahaha mkono wa nyani maamaee. Dogo njanja tulimuonya kwa AiriniiMkuu hiyo ni sign ,ukiona kademu kameweka kipini puani kaa nako mbali maana hapo unacheza na grid 132Kva.
Hahaha mkono wa nyani maamaee. Dogo njanja tulimuonya kwa Airinii
niliona t inatosha mkuuUSingeach wanasem dawa zinasaidia san, maan kun nes aliniambia yy alikua kwa wale wanaokusany dam ukiend kutoa na aliwah kujichom kwa sindan ya mdau ambae alikua anachanga dam na dam ilikua chaf ila alianza dawa baada ya kujichom, ko kweny kupim zile dam ile ikawa chaf.. alitumia na akaw saw ila kikubwa ni matumiz sahih
Huwezi pata ukimwi kwahiyo styleIlikua iv kaka, na hat izo 2 hazikukamilik... kam nliingia san ni mar 6 nkaw nmemaliz
Vp mkuu hizo zilizoandikwa La75 ni PEP?Pole mkuu vipi hazikumbusumbui na unameza zilizoandikwa la75 au n33?
Picha ipi hiyo bro, ila nimekufurahia bro nilikuwa nakuandikia comments za kukukera kwa makusudi ila hujakereka wala kujaa upepo.Kanali kunde
naomba ile picha utume tena hapa ili twende sawa
Amn tatizo
mkuu sina cha ku comments, MUNGU atakusaidia.Ilikua iv kaka, na hat izo 2 hazikukamilik... kam nliingia san ni mar 6 nkaw nmemaliz
Pcha gan mkuuKanali kunde
naomba ile picha utume tena hapa ili twende sawa
Ee ndo izo ziko poa san mm nmebakiza siku 2 toka nianze kutumia ko namaliz kesho kutwa af napima tena
Na wewe unatumia vidonge vilivyo andikwa LA75 bro....Ee ndo izo ziko poa san mm nmebakiza siku 2 toka nianze kutumia ko namaliz kesho kutwa af napima tena
Side effects zake n zp kwako mkuuEe ndo izo ziko poa san mm nmebakiza siku 2 toka nianze kutumia ko namaliz kesho kutwa af napima tena
Yeah ni Arv ni pep.Vp mkuu hizo zilizoandikwa La75 ni PEP?
Duuuh kumbe ipo hivo.....na ikitokea kabla ya mwenye uhitaji wa Pep akinywa kidonge Cha N33...then kesho yake akafuatisha full dose ya LA75 inakuaje hapo mtaalamu.......??Yeah ni Arv ni pep.