Siku 32 baada ya kumaliza PEP

flynn05

Member
Apr 7, 2024
49
48
Wakuu nlileta kisa hum baada ya kusex na binti anaetumia dawa na hakuniambia, ila siku anakuja mda ulikua umeenda sana na nlitakiwa kuwahi kazini..so kwenye ile sex nlifanya chini ya dakika 2 nkawa nmemaliza ila baadae nkaambiwa alikua mgonjwa, ilikua siku iyo iyo kama masaa 3 baadae, ko ikabidi asubuhi yake niende hospital ya BUGANDO nkajieleza nkapimwa nikawa NEG nkapewa PEP ikiwa ni masaa 13 toka nifanye nae sex... dawa zimeisha nlipewa vidonge vya siku 30 na leo ni siku ya 32 nimepima asubuhi hii, na majibu ni haya👇🏾.... je nipime lini tena kwa uhakika zaidi... ila wallah nkiondokana na hili naoa au nakaa mwenyewe mazima bora niwe najichua tu🥹 nimewaogopa sana wanawake, nilimkosea sana MUNGU🙏🏼
 

Attachments

  • 20240428_072211.jpg
    7.9 MB · Views: 6
Kimsingi thread za HIV zimekuwa ni nyingi sana siyo mbaya ila nadhani tujitahidi kutumia kinga vile vile tupunguze zinaa.
Mbili kumi na nne DRC kipindi mshenzi hafai kunguru anang'oka kuna mambo unavuka unashukuru tu.

Tuepuke zinaa wanangu
 
Wakuu nlileta kisa hum baada ya kusex na binti anaetumia dawa na hakuniambia, ila siku anakuja mda ulikua umeenda sana na nlitakiwa kuwahi kazini..so kwenye ile sex nlifanya chini ya dakika 2 nkawa nmemaliza ila baadae nkaambiwa alikua mgonjwa, ilikua siku iyo iyo kama masaa 3 baadae, ko ikabidi asubuhi yake niende hospital ya BUGANDO nkajieleza nkapimwa nikawa NEG nkapewa PEP ikiwa ni masaa 13 toka nifanye nae sex... dawa zimeisha nlipewa vidonge vya siku 30 na leo ni siku ya 32 nimepima asubuhi hii, na majibu ni haya👇🏾.... je nipime lini tena kwa uhakika zaidi... ila wallah nkiondokana na hili naoa au nakaa mwenyewe mazima bora niwe najichua tu🥹 nimewaogopa sana wanawake, nilimkosea sana MUNGU🙏🏼
🤣🤣🤣Sex chini ya dakika mbili we ni KUKU? mecheka sana asee dah!
 
Ndiyo isitoshe huyo demu anamezaga dawa viral load ni ndogo.
Huyo DEMU anatumia ARV's anajijua kabisa kwanini akugee bila Kinga au jamaa Kuna kitu unaficha alitumia TENK kupata hiyo mbususu/ papuchi yake

All in all utakua safe acha uoga pia epuka NGONO ZEMBE
 
Back
Top Bottom