Minimini minimo
Member
- Jan 14, 2024
- 20
- 25
Nawapenda JF...maisha yapo tu. katika maisha wana jamii forum wamnitoa kwenye upweke na kuwa happy manytime ..thanks everyone inside
Ngurukia kuwa mkalimu kwa wageniUkute mnakaribisha jitu la kila siku humu ambalo limeamua kuja kivingine. Usishangae baadhi ya wanaokaribisha ni yeye mwenyewe akijikaribisha kwa ID yake nyingine.