Inawezekanaje kuimarisha Maadili katika JAMII Kwa kuondoa Biblia mashuleni?

Nakuunga mkono kabisa

Mimi namaliza Kidato Cha nne, Divinity lilikuwepo, kumbe limetolewa???.


Hivi watu wanadhan kumshinda shetan na huu utandawazi na tekinolojia ,ni kama Kunywa Mirinda ya Baridi eeh??.


NI DINI PEKEE, NDIO INAYOMSTAHARABISHA MWANADAMU.



ALAANIWE KABISA TENA SHENZI ZAKE HUYO ALOAMUA KUONDOA SOMO HILO .



Warusi wanapamba Kulinda Maadili ya Taifa lao kwa kuhakikisha wanawalinda watoto kiroho Toka wangali wadogo WAKIWA mashuleni ,Somo la Biblia linafundishwa .




WACHINA Hawa sio wa Dini, lakini Wametunga Sheria Kali sana zenye lengo la Kulinda watoto.


Kwanini watoto?? Kwa sababu ukilinda watoto, umelinda hazina ya kesho, maana humo ndio Kuna Viongozi, wafanyakazi, Watumishi wa Mungu n.k.


Imagine mtoto wa Fomu 2 ana smart anashinda mtandaon Masaa Kuanzia matatu , huko anaona Wazungu wanafurahia Ushoga.... huyu mtoto anakuja kua Kiongozi, atauchukia Ushoga??.



Hivi watanzania Tumerogwa na Nani?? Ndo kusema akili ndogo zimetushinda sisi akili kubwa???.


Wizara ya Jinsia ,watoto, wao wamejikita kwenye Kulinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia... Wanasahau Kua Mtoto anaathirika Kwa kuona, kusikia sio mpaka atendewe, lkn Wizara haijiangaishi kabisa kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ,dhidi ya matumizi simu, kopyuta n.k


Ona sasa,,, Unakuta hapo Mzungu ndio kawaambiaz ili tuwape msaada wa Elimu, ondoeni somo la Biblia mashuleni ..


Kuna Mahali utaipata Hekima na Busara ,mbali na Biblia???.

Kuna akili ya Mwanadamu iwezayo kumtia Mwanadamu Hekima na Busara??.


Hatujakaa sawa, wakati ndo kwanza tunapambana na haya, wenzetu wameshaleta Artificial Intelligence .... Hamna alojipanga kuwaandaa watoto , ukiachalia mbali watu wazima.

Hivi tunaenda kua na Taifa la aina gan, baada ya kizazi chetu Cha miaka ya 1990 kurudi nyuma ,kitakapoisha??.



Daah hii Nchi,..watu wameamua kua MACHAWA KWAAJILI YA MATUMBO.
Ilifutwa Awamu ya nne.

Imagine, unafuta divinity, Kisha zinaruhusiwa asasi na NGO Toka nje wanakuja kufundisha USHOGA mashuleni.

Mapigo juu ya nchi hayatakoma Kwa mtindo huu!!

UBARIKIWE ndugu!!
 
Kwani kabla wakoloni hawajaleta biblia na dini zao uchwara jamii zetu hazikuwa na maadili?
Tamaduni zetu zinajitosheleza kabisa katika swala la maadili. Ni sisi kuachana na miungu uchwara wa wazungu, wayahudi na waarabu na kukumbatia mila, desturi na tamaduni za jamii zetu zilizo njema.

Pia, mfumo wetu wa elimu hauhitaji kusimamiwa na hiyo miungu uchwara ya wazungu na waarabu.
Elimu ibaki swala la kitaaluma, hatutaki mambo ya kufikirika huku.

Kwanza mambo ya dini yana-discourage curiousity ya watoto na kuwanasa hofu tu.
Kwamba mtoto akifunzwa neno la Mungu anapata HOFU,

Vipi kuhusu movies za mazombie wanazoangalia majumbani?

City Owl , Jina lako tu ni Giza tupu, kubali Nuru itokanayo na neno la Mungu upone wewe na uzao wako.

Ubarikiwe 🙏
 
Kwamba mtoto akifunzwa neno la Mungu anapata HOFU,

Vipi kuhusu movies za mazombie wanazoangalia majumbani?

City Owl , Jina lako tu ni Giza tupu, kubali Nuru itokanayo na neno la Mungu upone wewe na uzao wako.

Ubarikiwe 🙏
Siyo hofu tu, hofu kuu na chuki ndani yake.
Huoni wanaogopa hata kuuliza kuhusu huyo mungu, wanatishwa kuwa wanakufuru. Wanaogopa kuchomwa moto au kupatwa na mabaya, mambo ya dhahania.

Pia, city owl ni jina safi kabisa. Kwa imani zenu potofu ndiyo mkadanganyika kuwa bundi ni ndege mbaya.
 
Siyo hofu tu, hofu kuu na chuki ndani yake.
Huoni wanaogopa hata kuuliza kuhusu huyo mungu, wanatishwa kuwa wanakufuru. Wanaogopa kuchomwa moto au kupatwa na mabaya, mambo ya dhahania.

Pia, city owl ni jina safi kabisa. Kwa imani zenu potofu ndiyo mkadanganyika kuwa bundi ni ndege mbaya.
Ulichoandika,

Ndio Hasa matokeo ya kuondoa BIBLIA mashuleni ukitegemea unaridhisha makundi yote ya wananchi katika JAMII, kumbe ndio tunaelekea gizani.

Nikuhakikishie,

Tanzania soon utarudi katika line, maana Mungu ameichagua.
 
Ulichoandika,

Ndio Hasa matokeo ya kuondoa BIBLIA mashuleni ukitegemea unaridhisha makundi yote ya wananchi katika JAMII, kumbe ndio tunaelekea gizani.

Nikuhakikishie,

Tanzania soon utarudi katika line, maana Mungu ameichagua.
Kaka, upo delusional sana.

Ukweli ni kwamba jamii ya watanzania wengi na waafrika kwa ujumla sasa wanaamka na kuachana na propaganda na hadithi za uongo za dini za wazungu na waarabu kuhusu dini..mabadiliko yaja taratibu lakini ni ya kudumu.
 
Salaam, shalom!!

Kwa kuanza, naomba kudeclare, Rabbon ni mwalimu wa neno la Mungu katika ngazi ya watoto.

JAMII ya kitanzania, inatahamaki kushuhudia mmomonyoko mkubwa wa Maadili na wanaolaumiwa ni wazazi.

Nichukue fursa hii kuwakumbusha JAMII kuwa, watoto wetu, wanakaa mashuleni masaa mengi Kwa wiki kuliko masaa wanayokaa nyumbani au katika nyumba za Ibada.

Sikuhizi Hadi unakuta mtoto wa miaka mitatu anapelekwa shule Ili mzazi apate time ya kwenda kazini.

Kwa kuwa familia nyingi hata kupata muda wa kusali Kwa pamoja na kusoma neno la Mungu kama familia Kila usiku kabla ya kulala imekuwa mtihani,

BIBLIA ikifundishwa mashuleni katika level zote hata mara Moja Kwa wiki, tutapata wasaa kurudisha Maadili katika JAMII zetu.

Rabbon nilipokuwa sekondari, palikuwa na somo linaitwa Divinity, nilitokea kupenda sana kusoma BIBLIA Ili nifaulu somo ninalolipenda Divinity. Muda mwingi nilitumia kusoma na kutafakari Neno la Mungu, jambo hili lilinipa upenyo ufuatao, sikuwahi kupata muda wa kusoma masomo mengine muda wa ziada zaidi ya kumsikiliza mwalimu akifundisha darasani, lakini Cha kushangaza, nilifaulu na kuwa the best katika darasani Zima tangu kidato Cha tatu Hadi namaliza.

Kuruhusu divinity ifundishwe mashuleni Si kuchanganya dini na Elimu, Bali kufanya hivyo, ni kumkaribisha Mungu asimamie ELIMU na Maadili ya JAMII yetu Kwa Urahisi zaidi maana shuleni ndipo mtoto anakokaa zaidi kuliko nyumbani maisha yote ya shule.

USHAURI: DIVINITY Irudishe katika mitaala na liwe somo lenye kuhesabiwa katika ufaulu kama zamani na kufundishwa Kwa bidii mashuleni.

NB: Sijaongelea vitabu vingine vya dini Sababu havinihusu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni.🙏
Bora umeliona hilo la kutovizungumzia vitabu vingine vya dini maana ni vya hovyo hovyo
 
Watoto wafundishwe BIBLIA mashuleni Ili kudumisha Maadili Kwa vizazi vijavyo.
 
Biblia ni kitabu Cha kuweka mbali na watoto
Ni hatari sana kuwa nacho karibu hasa kama una watoto watundu wa vitabu
 

Attachments

  • en_Combat_Kit.pdf
    413.2 KB · Views: 0
Back
Top Bottom