Inawezekanaje kuimarisha Maadili katika JAMII Kwa kuondoa Biblia mashuleni?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,339
23,086
Salaam, shalom!!

Kwa kuanza, naomba kudeclare, Rabbon ni mwalimu wa neno la Mungu katika ngazi ya watoto.

JAMII ya kitanzania, inatahamaki kushuhudia mmomonyoko mkubwa wa Maadili na wanaolaumiwa ni wazazi.

Nichukue fursa hii kuwakumbusha JAMII kuwa, watoto wetu, wanakaa mashuleni masaa mengi Kwa wiki kuliko masaa wanayokaa nyumbani au katika nyumba za Ibada.

Sikuhizi Hadi unakuta mtoto wa miaka mitatu anapelekwa shule Ili mzazi apate time ya kwenda kazini.

Kwa kuwa familia nyingi hata kupata muda wa kusali Kwa pamoja na kusoma neno la Mungu kama familia Kila usiku kabla ya kulala imekuwa mtihani,

BIBLIA ikifundishwa mashuleni katika level zote hata mara Moja Kwa wiki, tutapata wasaa kurudisha Maadili katika JAMII zetu.

Rabbon nilipokuwa sekondari, palikuwa na somo linaitwa Divinity, nilitokea kupenda sana kusoma BIBLIA Ili nifaulu somo ninalolipenda Divinity. Muda mwingi nilitumia kusoma na kutafakari Neno la Mungu, jambo hili lilinipa upenyo ufuatao, sikuwahi kupata muda wa kusoma masomo mengine muda wa ziada zaidi ya kumsikiliza mwalimu akifundisha darasani, lakini Cha kushangaza, nilifaulu na kuwa the best katika darasani Zima tangu kidato Cha tatu Hadi namaliza.

Kuruhusu divinity ifundishwe mashuleni Si kuchanganya dini na Elimu, Bali kufanya hivyo, ni kumkaribisha Mungu asimamie ELIMU na Maadili ya JAMII yetu Kwa Urahisi zaidi maana shuleni ndipo mtoto anakokaa zaidi kuliko nyumbani maisha yote ya shule.

USHAURI: DIVINITY Irudishe katika mitaala na liwe somo lenye kuhesabiwa katika ufaulu kama zamani na kufundishwa Kwa bidii mashuleni.

NB: Sijaongelea vitabu vingine vya dini Sababu havinihusu,tuvumiliane.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni.🙏
 
Mungu aliposema, mtafute sana Elimu, usimwache aende zake,

ELIMU tunayotakiwa kutafuta, Si Elimu ya kujua kusoma na kuandika au kujitegemea kiuchumi pekee, Bali

Ni kutafuta ELIMU ya kumjua na kumcha Mungu.

Aamen
 
binadamu tuna shida mahali
hivi Hawa alikosa elimu ipi hadi akala tunda alilokatazwa?
Cain alikosa elimu ipi hadi akamuua bro wake Abel
HIVYO VINAVYOKATAZWA ndo tunakomaa navyo

Waroma 7:15-25 BHND​

Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachokichukia ndicho nikifanyacho. Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile sheria ni nzuri. Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi inayokaa ndani yangu. Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza. Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka. Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi inayokaa ndani yangu. Basi, nimegundua kanuni hii: Ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua. Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu. Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu. Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka mwili huu unaonipeleka kifoni? Shukrani kwa Mungu afanyaye hivyo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: Mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya Mungu, lakini kwa mwili wangu ninaitumikia sheria ya dhambi.
 
Salaam, shalom!!

Kwa kuanza, naomba kudeclare, Rabbon ni mwalimu wa neno la Mungu katika ngazi ya watoto.

JAMII ya kitanzania, inatahamaki kushuhudia mmomonyoko mkubwa wa Maadili na wanaolaumiwa ni wazazi.

Nichukue fursa hii kuwakumbusha JAMII kuwa, watoto wetu, wanakaa mashuleni masaa mengi Kwa wiki kuliko masaa wanayokaa nyumbani au katika nyumba za Ibada.

Sikuhizi Hadi unakuta mtoto wa miaka mitatu anapelekwa shule Ili mzazi apate time ya kwenda kazini.

Kwa kuwa familia nyingi hata kupata muda wa kusali Kwa pamoja na kusoma neno la Mungu kama familia Kila usiku kabla ya kulala imekuwa mtihani,

BIBLIA ikifundishwa mashuleni katika level zote hata mara Moja Kwa wiki, tutapata wasaa kurudisha Maadili katika JAMII zetu.

Rabbon nilipokuwa sekondari, palikuwa na somo linaitwa Divinity, nilitokea kupenda sana kusoma BIBLIA Ili nifaulu somo ninalolipenda Divinity. Muda mwingi nilitumia kusoma na kutafakari Neno la Mungu, jambo hili lilinipa upenyo ufuatao, sikuwahi kupata muda wa kusoma masomo mengine muda wa ziada zaidi ya kumsikiliza mwalimu akifundisha darasani, lakini Cha kushangaza, nilifaulu na kuwa the best katika darasani Zima tangu kidato Cha tatu Hadi namaliza.

Kuruhusu divinity ifundishwe mashuleni Si kuchanganya dini na Elimu, Bali kufanya hivyo, ni kumkaribisha Mungu asimamie ELIMU na Maadili ya JAMII yetu Kwa Urahisi zaidi maana shuleni ndipo mtoto anakokaa zaidi kuliko nyumbani maisha yote ya shule.


USHAURI: DIVINITY Irudishe katika mitaala na liwe somo lenye kuhesabiwa katika ufaulu kama zamani na kufundishwa Kwa bidii mashuleni.

NB: Sijaongelea vitabu vingine vya dini Sababu havinihusu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni.🙏
Kumbuka Muslim wapo na wasio abudu pia wapo na wao watafundishwa kwa lazima wasicho amini
 
Changamoto pia hao walimu wa divinity ndio wale wale tu.
No,

Kufundisha divinity mashuleni ilihitaji mwalimu aliyesoma Theology na kuhitimu Degree au Diploma.

Na ikifundishwa Kwa kiingereza.

Somo Hilo kufutwa, limechangia sana kuturudisha nyuma kimaadili.

Ubarikiwe 🙏
 
Why bible na sio mafunzo ya mizimu ya mababu na kina Mwanamalundi...

To each their own...
Kufundisha Mizimu ni sawa tu na kufundisha uchawi.

Haiwezekani Hilo, uchawi na Elimu au uganga na Elimu Dunia Huwa havikai pamoja ndugu.

Ubarikiwe 🙏
 
Kufundisha Mizimu ni sawa tu na kufundisha uchawi.

Haiwezekani Hilo, uchawi na Elimu au uganga na Elimu Dunia Huwa havikai pamoja ndugu.

Ubarikiwe 🙏
Haya mambo ni option / utashi wa mtu huwezi kulazimisha watu wajifunze Bible au Quran alafu ukakataza wengine wasijifunze mambo ya mizimu yao... kwahio tuendelee kama tunavyokwenda kila mtu na utashi wake hakuna kupangiana
 
USA ilianza vizuri,

Ila walipoondoa BIBLIA mashuleni, Giza limewavaa, sasa wako wanalekea shimoni,

Na wataanguka soon na kupoteza ukuu wao kiuchumi duniani,

Chanzo ni kuondoa BIBLIA mashuleni.

Tanzania turudi KATIKA line 🙏
 
Kuondoa BIBLIA mashuleni,ni sawa na kufuta Katiba ya nchi, na kufukuza KAZI polisi wote, kisha utegemee Amani na utulivu mtaani.
 
Kwani kabla wakoloni hawajaleta biblia na dini zao uchwara jamii zetu hazikuwa na maadili?
Tamaduni zetu zinajitosheleza kabisa katika swala la maadili. Ni sisi kuachana na miungu uchwara wa wazungu, wayahudi na waarabu na kukumbatia mila, desturi na tamaduni za jamii zetu zilizo njema.

Pia, mfumo wetu wa elimu hauhitaji kusimamiwa na hiyo miungu uchwara ya wazungu na waarabu.
Elimu ibaki swala la kitaaluma, hatutaki mambo ya kufikirika huku.

Kwanza mambo ya dini yana-discourage curiousity ya watoto na kuwanasa hofu tu.
 
Salaam, shalom!!

Kwa kuanza, naomba kudeclare, Rabbon ni mwalimu wa neno la Mungu katika ngazi ya watoto.

JAMII ya kitanzania, inatahamaki kushuhudia mmomonyoko mkubwa wa Maadili na wanaolaumiwa ni wazazi.

Nichukue fursa hii kuwakumbusha JAMII kuwa, watoto wetu, wanakaa mashuleni masaa mengi Kwa wiki kuliko masaa wanayokaa nyumbani au katika nyumba za Ibada.

Sikuhizi Hadi unakuta mtoto wa miaka mitatu anapelekwa shule Ili mzazi apate time ya kwenda kazini.

Kwa kuwa familia nyingi hata kupata muda wa kusali Kwa pamoja na kusoma neno la Mungu kama familia Kila usiku kabla ya kulala imekuwa mtihani,

BIBLIA ikifundishwa mashuleni katika level zote hata mara Moja Kwa wiki, tutapata wasaa kurudisha Maadili katika JAMII zetu.

Rabbon nilipokuwa sekondari, palikuwa na somo linaitwa Divinity, nilitokea kupenda sana kusoma BIBLIA Ili nifaulu somo ninalolipenda Divinity. Muda mwingi nilitumia kusoma na kutafakari Neno la Mungu, jambo hili lilinipa upenyo ufuatao, sikuwahi kupata muda wa kusoma masomo mengine muda wa ziada zaidi ya kumsikiliza mwalimu akifundisha darasani, lakini Cha kushangaza, nilifaulu na kuwa the best katika darasani Zima tangu kidato Cha tatu Hadi namaliza.

Kuruhusu divinity ifundishwe mashuleni Si kuchanganya dini na Elimu, Bali kufanya hivyo, ni kumkaribisha Mungu asimamie ELIMU na Maadili ya JAMII yetu Kwa Urahisi zaidi maana shuleni ndipo mtoto anakokaa zaidi kuliko nyumbani maisha yote ya shule.

USHAURI: DIVINITY Irudishe katika mitaala na liwe somo lenye kuhesabiwa katika ufaulu kama zamani na kufundishwa Kwa bidii mashuleni.

NB: Sijaongelea vitabu vingine vya dini Sababu havinihusu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni.🙏
Nakuunga mkono kabisa

Mimi namaliza Kidato Cha nne, Divinity lilikuwepo, kumbe limetolewa???.


Hivi watu wanadhan kumshinda shetan na huu utandawazi na tekinolojia ,ni kama Kunywa Mirinda ya Baridi eeh??.


NI DINI PEKEE, NDIO INAYOMSTAHARABISHA MWANADAMU.



ALAANIWE KABISA TENA SHENZI ZAKE HUYO ALOAMUA KUONDOA SOMO HILO .



Warusi wanapamba Kulinda Maadili ya Taifa lao kwa kuhakikisha wanawalinda watoto kiroho Toka wangali wadogo WAKIWA mashuleni ,Somo la Biblia linafundishwa .




WACHINA Hawa sio wa Dini, lakini Wametunga Sheria Kali sana zenye lengo la Kulinda watoto.


Kwanini watoto?? Kwa sababu ukilinda watoto, umelinda hazina ya kesho, maana humo ndio Kuna Viongozi, wafanyakazi, Watumishi wa Mungu n.k.


Imagine mtoto wa Fomu 2 ana smart anashinda mtandaon Masaa Kuanzia matatu , huko anaona Wazungu wanafurahia Ushoga.... huyu mtoto anakuja kua Kiongozi, atauchukia Ushoga??.



Hivi watanzania Tumerogwa na Nani?? Ndo kusema akili ndogo zimetushinda sisi akili kubwa???.


Wizara ya Jinsia ,watoto, wao wamejikita kwenye Kulinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia... Wanasahau Kua Mtoto anaathirika Kwa kuona, kusikia sio mpaka atendewe, lkn Wizara haijiangaishi kabisa kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ,dhidi ya matumizi simu, kopyuta n.k


Ona sasa,,, Unakuta hapo Mzungu ndio kawaambiaz ili tuwape msaada wa Elimu, ondoeni somo la Biblia mashuleni ..


Kuna Mahali utaipata Hekima na Busara ,mbali na Biblia???.

Kuna akili ya Mwanadamu iwezayo kumtia Mwanadamu Hekima na Busara??.


Hatujakaa sawa, wakati ndo kwanza tunapambana na haya, wenzetu wameshaleta Artificial Intelligence .... Hamna alojipanga kuwaandaa watoto , ukiachalia mbali watu wazima.

Hivi tunaenda kua na Taifa la aina gan, baada ya kizazi chetu Cha miaka ya 1990 kurudi nyuma ,kitakapoisha??.



Daah hii Nchi,..watu wameamua kua MACHAWA KWAAJILI YA MATUMBO.
 
Back
Top Bottom