Inaniuma sana, nimeamua nitapike ni kisa cha kweli!!!!!!!!!

leah freddy

New Member
Feb 17, 2012
1
2
Ilikua ni mwaka 2007 nilijiiingiza kwenye tagged, nilipata marafiki wengi sana, mja wa marafiki hao nilimpa number yangu ya simu, kwa bahati mbaya ple nilipokua nafanya kazi nikaachishwa mawasiliano yakawa hafifu, siku moja nikiwa nimepata kazi sehemu nyingine niliingia kwanye mtandao nikamkuta kwa kweli nilifurahi sana, basi tukaendelea kuwasiliana, siku moja akaomba nikutane nae nikawa nakataa, aliendelea kutaka kuonanna nami siku moja niliamua kukubali, basi nikaenda tuka meet some where, nilifurahi sna nae alifurahi sana, akaniuliza backgroudn yangu nae nami nikamuuliza akanieleza, tukaendelea kuwasiliana, wakati huo tuliheshimiana na hatukuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikamuonyesha kwetu, siku zilienda miaka ikayoyoma nikawa na furaha nae akawa na furaha, baada ya kama miaka miwili tukajikuta tumejiingiza kwenye mahusiano tulipedana sana na tukapanga mambo mengi ya kiamaisha.
Ghafla alibadilika akanichukia pasipo sababu akawa ananijibu vibaya nikimuuliza akawa hana cha kuniambia, ilipita week moja pasipo kuonana, week iliyofuata nikamwambia naenda kwake akanikatalia na kunipa short answers. siku moja nilikajikaza nikaenda kwake kabla sijaingia nikakuta jiko viatu vya mwanamke mlangoni na jiko likiwa limewashwa na kwenye cordo kuna mdada anapika. nikamsalimia nikauliza kama jamaa yupo ndani akaniambia ee kabla sijaomba aniitie akawa ametokea sitin , hakutaka niiingie ndani na mimi nilielewa kila kinachoendelea, nikamwomba tutoke nje mara moja na nilijitahidi nisionyeshe kama kuna kitu nimehisi, tulipofika nikamuuliza huku machozi yananilenga lenga kwanini umeamua kunifanyia hivyo alibadilika rangi na hakuweza kunijibu chochte. Kuna promiss alinipa na akaahidi kunisupport kwa hali na mali nikamuuliza kama alikua yupo tauyari akanijibu ndio,basi nikamwambia alll the best. Jamani nilipofika nyumbani niliumia sana ilinigharimu sana, na chaajabu hakutaka hata kuwasiliana na mimi, na ukweli ni kwamba sikuwahi kugombana nae wala kumkosea chochote. Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!
 
My dear
maisha hayapo jinsi unavofikiri.relax jiachie duniani humu wanaume ni wengi tena utapata mzuri kuliko huyo utashangaa.
Sio kila tunachotaka kinakuwa jinsi tutakavo,ishi kwa mbadala baada ya muda ule mbadala utakuwa ndo sahihi tena zaidi ya ufikiriavo
 
pole kwa kupenda usipopendwa jitahidi kufuta namba zake na mawasiliano ya namna yoyote ile halafu usimfikrie sana ni hayo tu..
 
Binti wa kike hii ni mikasa ya maisha songa mbele na utampata mwingine ambaye atakufanya usahau yote haya
Mkasa kama wako uliwahi kunipata ila mie nilifanya suprise ambayo ilinitokea puani,
Kwa sasa naishi maisha yangu ya furaha na amani
Huyo si wako na hakupendi tena zoea hiyo hali na jitahidi kumsahau.
 
Pole sana dada,waswahili husema mpende akupendae na asiye kupenda achana naye,sasa kwa nini unaumia na mtu asiye kupenda.Muombe Mungu atakupa mchumba bora kwani mchumba mzuri hutoka kwa Bwana.
 
Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!

Jibu hapo ni kuwa shukuru Mwenyezi Mungu kampa ujasiri wa kuishia khali badi kweupe.......................wewe bado kijana using'ang'anie uhusiano na yule ambaye unaona haoni dhiki kukuachia maumivu.......................anza kuwasiliana na wanaumme wengineo.......................siyo lazima iwe kimapenzi lakini kuwa na marafiki wengineo....................baada ya muda si mrefu mungu atakuletea mwanaumme bora zaidi ya huyo...............usikubali kusema ya kuwa ni yeye tu................kweli kupenda ni hisia lakini wako wengi ambao utawapenda zaidi ya yule..................nao watakupenda na kukuheshimu sana...............rejection is tough but it comes for a reason.............................mara nyingi ni kukuandaa kwenye uhusiano mwingine na ambao ni bora..........................ukipitia kwenye tanuru la namna hiyo unakomaa.......................na atakapokuja yule ambaye mungu kakuandikia utamthamini sana kwa sababu machungu ya kuachwa wayajua fika.............................usijiulize kwa nini kaniacha.....................mara nyingi hata yeye hajui...................ni moyo wake tu umekuwa mgumu kwako..........................it is nothing personal.............................move on before it is too late to catch another airbus.......................
 
Kisicho riziki hakiliki, hiyo haikuwa riziki yako sahau na jaribu kwingine.
 
Kaza moyo songa mbele siku hazigandi dada yangu na ukiendelea kumuweka moyoni huyo mwanaume unakosa penzi la mpenzi wako afuatae. Don't dwell in the past.
 
Pole binti, u r still living in the past

Tatizo ni lipi sasa hapo au kwakuwa aliku promise kukusaidia hali na mali?
 
Pole najua namna unavojisikia,ilishanipata siku moja but amin nakwambia ipo siku utalifurahia tukio hili na kumshukuru mungu kwa kilio cha furaha,

Nakushauri uruhusu moyo ukubali matokeo japo si rahasi but u have to do it!kubali na kuamini kuwa huyo hakuwa wako na ilikuwa lzm muachane tu hata km isingekuwa wakati huu ili ampishe aliyeumbwa kwa ajili yako achukue nafasi yake siku moja,

Pia mbele ya safari utaona faida ya kuachwa kwan kuanzia hapo utaijua thamani ya mapnz kwa utakayempata kwan utakua unaujua uchungu wake,

Mwombe mungu akupe ujasiri na kusahau kwa kujichanganya na watu,ji keep busy,usiruhusu mawazo yake au ya tukio kukutawala,amini wapo wanaojua kupenda zaidi yake,na wa kwako yuko njian na ipo siku mtakutana na yote yatakuwa historia and u will be happy again and forever!!!
 
I think he was the rong mana to you that's why God show you early before get marrage so ilopo mshukuru Mungu kwa kila jambo
 
PakaJimmy
majibu yako na hii poster hayaendani kabisa yaani. . Ye anaongelea hisia zake kwa mpenziwe ..
We unaongelea michango ya JF ... duhh
Hiyo ni post yake ya kwanza.........kama ada, PJ kampa sharia na taratibu za JF.
 
oyo achana nae .......si hakupendi jamani....ww kwani unaweza kukumkubali yeyote yule kwa sababu tu yeye anakupenda?
 
Hiyo ni post yake ya kwanza.........kama ada, PJ kampa sharia na taratibu za JF.
Nawe wakati umejiunga thread yako ya kwanza kuirusha hewani huyu jimmy paka akakupa hii kitu au kabla ya kujiunga unasoma masharti na kanuni zote za JF,?
 
life goes on ma dear, wewe unaumia mwenzako ndo kwanza ananenepa na hata wazo na wewe hana. songa mbele akuwa wako huyo just let it go.
 
Back
Top Bottom