leah freddy
New Member
- Feb 17, 2012
- 1
- 2
Ilikua ni mwaka 2007 nilijiiingiza kwenye tagged, nilipata marafiki wengi sana, mja wa marafiki hao nilimpa number yangu ya simu, kwa bahati mbaya ple nilipokua nafanya kazi nikaachishwa mawasiliano yakawa hafifu, siku moja nikiwa nimepata kazi sehemu nyingine niliingia kwanye mtandao nikamkuta kwa kweli nilifurahi sana, basi tukaendelea kuwasiliana, siku moja akaomba nikutane nae nikawa nakataa, aliendelea kutaka kuonanna nami siku moja niliamua kukubali, basi nikaenda tuka meet some where, nilifurahi sna nae alifurahi sana, akaniuliza backgroudn yangu nae nami nikamuuliza akanieleza, tukaendelea kuwasiliana, wakati huo tuliheshimiana na hatukuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikamuonyesha kwetu, siku zilienda miaka ikayoyoma nikawa na furaha nae akawa na furaha, baada ya kama miaka miwili tukajikuta tumejiingiza kwenye mahusiano tulipedana sana na tukapanga mambo mengi ya kiamaisha.
Ghafla alibadilika akanichukia pasipo sababu akawa ananijibu vibaya nikimuuliza akawa hana cha kuniambia, ilipita week moja pasipo kuonana, week iliyofuata nikamwambia naenda kwake akanikatalia na kunipa short answers. siku moja nilikajikaza nikaenda kwake kabla sijaingia nikakuta jiko viatu vya mwanamke mlangoni na jiko likiwa limewashwa na kwenye cordo kuna mdada anapika. nikamsalimia nikauliza kama jamaa yupo ndani akaniambia ee kabla sijaomba aniitie akawa ametokea sitin , hakutaka niiingie ndani na mimi nilielewa kila kinachoendelea, nikamwomba tutoke nje mara moja na nilijitahidi nisionyeshe kama kuna kitu nimehisi, tulipofika nikamuuliza huku machozi yananilenga lenga kwanini umeamua kunifanyia hivyo alibadilika rangi na hakuweza kunijibu chochte. Kuna promiss alinipa na akaahidi kunisupport kwa hali na mali nikamuuliza kama alikua yupo tauyari akanijibu ndio,basi nikamwambia alll the best. Jamani nilipofika nyumbani niliumia sana ilinigharimu sana, na chaajabu hakutaka hata kuwasiliana na mimi, na ukweli ni kwamba sikuwahi kugombana nae wala kumkosea chochote. Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!
Ghafla alibadilika akanichukia pasipo sababu akawa ananijibu vibaya nikimuuliza akawa hana cha kuniambia, ilipita week moja pasipo kuonana, week iliyofuata nikamwambia naenda kwake akanikatalia na kunipa short answers. siku moja nilikajikaza nikaenda kwake kabla sijaingia nikakuta jiko viatu vya mwanamke mlangoni na jiko likiwa limewashwa na kwenye cordo kuna mdada anapika. nikamsalimia nikauliza kama jamaa yupo ndani akaniambia ee kabla sijaomba aniitie akawa ametokea sitin , hakutaka niiingie ndani na mimi nilielewa kila kinachoendelea, nikamwomba tutoke nje mara moja na nilijitahidi nisionyeshe kama kuna kitu nimehisi, tulipofika nikamuuliza huku machozi yananilenga lenga kwanini umeamua kunifanyia hivyo alibadilika rangi na hakuweza kunijibu chochte. Kuna promiss alinipa na akaahidi kunisupport kwa hali na mali nikamuuliza kama alikua yupo tauyari akanijibu ndio,basi nikamwambia alll the best. Jamani nilipofika nyumbani niliumia sana ilinigharimu sana, na chaajabu hakutaka hata kuwasiliana na mimi, na ukweli ni kwamba sikuwahi kugombana nae wala kumkosea chochote. Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!