Ijue siri kuu ya mahusiano katika Ulimwengu wa Roho

Huyu jamaa anasema madini adimu sana.... Ubarikwe kwa kweli maana mabandiko yako kuna vitu baadhi umeviandika navifanyia practice...Naona maisha yangu yanaenda yakibadilika kidogo kidogo.. though itachukua muda.....be blessed Nyerere.
Amina. Nashukuru kwamba unaona vitu vyenye tija mkuu. Mungu akutie nguvu
 
**************************************
SEHEMU YA PILI
**************************************

Mapenzi na wengi
Mwanamke akifanya mapenzi na wanaume wengi huhifadhi copy zao ndani yake. Hata pale ajapoolewa zitamsumbua sana, kwani mwanamume wa awali akitaka mchezo, kopi yake iliyo ndani ya mwanamke huamka na kuutiisha mwili. Hujikuta dhaifu mno asiyeweza kujizuia kuutoa mwili wa mumewe kwa mwanamume mwingine. Ukitaka kuamini hili ongea na mwanamke, pale aonapo picha ya mpenzi wake wa zamani, au akipigiwa naye simu asikiapo sauti, au wakikutana ghafla hata kama ni baada ya miaka mingi kupita, hisia za awali huamka ndani yake. Unahitaji juhudi ndogo tu kulala na mwanamke huyu tena kwa sababu tayari kuna kivuli chako moyoni mwake.

Sasa mfano binti asiyeolewa akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza, huweka agano la maisha na huyo mwanamume. Ndio maana wanawake wengi wako radhi kumvulia nguo mwanamume aliyewatoa bikira wakati wowote akitaka mchezo, hata kama wameolewa. Huwa kama kondoo aliye machinjioni akisubiri kisu tu kipite shingoni. Nguvu ya agano la damu hutenda kazi.

Lakini binti huyu kadri anavyoendelea kutembea na wanaume mbalimbali hujiwekea ndani yake copy zao na kusababisha machafuko katika ulimwengu wa roho. Nafsi yake huwa na muunganiko na nafsi mbalimbali za wanaume, hivyo hata kama ataolewa, ni vigumu mno kwa mume wake kumtuliza nafsi mwanamke huyu, kwa sababu wameungana kimwili lakini kiroho sio mwili mmoja . Mwili mmoja ni pale nafsi mbili huru zinapoungana na kuwa nafsi moja. Ni vigumu sana kwa mwanamke huyu kudumu kwenye ndoa kwa sababu nafsi yake inaambatana na waume mbalimbali. Ni kwamba mwanamume mmoja kati ya wengi amejitwika mzigo wa kuuhifadhi mwili wa mwanamke huyu hali nafsi ikiwa na mafungamano mengi.

Mambo haya husababisha ndoa kuyumba na hivyo migogoro haitoisha kamwe. Tayari kuna muunganiko wa nafsi mbalimbali ambazo zina haki sawa ndani yenu. Ndio maana nasema ndoa sio jibu la mzinzi. Kwamba akioa au akiolewa ataacha!! Wala kwenda kanisani sio jibu hata kidogo. Kumbuka mwili ndio uendao kanisani, lakini roho yaweza kuwa mbali mno.

Hili pia ni jibu kwa wanawake wanaolalamika kuachwa na wanaume waliowatarajia kuwaoa. Mahusiano huwa matamu mpaka pale wanapofanya mapenzi, ndipo vurugu huanza, sababu tayari kuna muunganiko na wanaume wengine. Emotion energy za wanaume waliotangulia kuhifadhi ndani ya mwanamke zinapambana na energy ya mwanamume huyu mpya na kuvuruga mahusiano.

Siri ya mafanikio kwenye ndoa

Kuna wadau walianza kupinga hata kabla ya kusikia nini kinasemwa. Haya tuendelee...

Mungu alipowaumba Adamu na Eva aliwabariki kwa baraka ambazo NDIZO NGUVU za kuitawala dunia. Tusome:

Mwanzo 1

²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
²⁸ Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


** Hebu tuzitazame kwa kina hizi baraka:
1. Zaeni - tendo la ndoa
2. Mkaongezeke - tendo la ndoa
3. Mkaijaze nchi - tendo la ndoa
4. Na kuitiisha; kwamba mkisha tekeleza hayo mtaitiisha nchi,mtaitawala na kuwa himaya yenu. Zingatia hizi alama (;) kwamba maneno yanayofuata yanafafanua kuitiisha kwa jinsi gani. Kwa kutawala majini, angani na nchi kavu.

Hizo ndizo baraka alizopewa mwanadamu, lakini umegundua nini? Baraka hizo zimefungwa kwenye ndoa . Kwamba huwezi kuzaa ama kuongezeka pasipo tendo la ndoa. Hapo ndipo ilipo nguvu ya barakahizo.

Kumbukumbu la Torati 8
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Amri hii ninayokuamuru leo mtaishika kuitenda, mpate kuishi na kuongezeka, na kuingia katika nchiile ambayo Bwana aliwaapia baba zenu; nanyi mtaimiliki.


** Tazama kwa umakini, Mungu anarudia ahadi ile ile ya Adam na Eva kwa wana wa Israeli.

1. Mpate kuishi - tunatengeneza uhai kwa tendo la ndoa
2. Kuongezeka - kuijaza nchi
3. Kuingia katika nchi
4. Kuimiliki - kuitiisha

Kumbe kuishika amri ya Bwana kunapelekea baraka zake maishani mwetu. Tena mbele kidogo Tu aliendelea kuweka wazi:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

** Hapo kuna maana nzito mno katika roho. Nikusihi weka akika neno hili nitalielezea hapo chini, lakini kwanza tuone hili:

¹⁷ Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo.
¹⁸ Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lakealilowapa baba zako, kama hivi leo.


** Mungu ndiye atupaye nguvu za kupata utajiri. Waendao kwa wachawi hupata nguvu zao huko, kwa sababu hawaelewi zilipo nguvu za Mungu. Agano la Mungu ni kumrejeshea mwanadamu umiliki wa dunia, ilivyokuwa kwa Adamu na Eva. Nguvu ya agano hili imo katika emotions. Kama vile Adamu alivyofunga agano hili kwa kutoa bikra ya Eva, ndivyo mwanamume anavyofunga aganohili kwa kutoa bikra ya binti.

Sasa tuangalie kuhusu hiyo aya tuliyoiacha hapo juu:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

Aya hii (vijito, chemchemi, visima) imeelezewa vema hapa:

[Mithali 5[/B]
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁵ Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.


** Hapa moyo wa mwanamke umefananishwa na birika, au tanki (cistern), ambamo mwanamume huhifadhi nguvu zake za hisia (emotional energy). Halafu tena sehemu zake za siri zimefahamishwa na kisima kinachobubujisha maji ambamo mwanamume humwaga mbegu zake humo na kuburudika.

Kwa hiyo, mwanamume anapaswa kunywa maji aliyohifadhi mwenyewe ndani ya birika ambalo ni mwanamke (emotions). Hii ni nguvu aiwekayo mwanamume ndani ya mwanamke. Kumbe mwanamke humpenda mume kwa kadri anavyokeza ndani yake hisia zake. Lugha nyepesi, utavuna ulichopanda. Mwanamke pia HATAKIWI KATU kuingiza nguvu nyingine tofauti na mumewe, kwani kufanya hivyo ni kuleta vurugu katika roho. Biblia inamwasa mwanamume kuwa anywe maji ya birika lake mwenyewe , sio kwenye birika la jumuiya. Kwamba mtu ambaye ameshaitoa nafsi yake kwa wanaume wengine, wakaweka hisia zao ndani yake, wakamwacha. Ndio maana wanawake wengi hutembea na majeraha ya kuachwa na wapenzi wao wa kale, kisha huingia kwenye mahusiano mapya wakiwa na SURA ZA WANAUME waliowajeruhi. Ndizo hadithi za wanaume wote wako hivyo.

Kisha mwanamume na anywe maji kutoka kisima (sehemu za siri)chake tu, yaani kujamiiana na mkewe tu. Katika nguvu za hisia, anywe katika birika alilojaza, kimwili sasa anywe katika kisima chake tu. Kutembea na wanawake wengi ni kutawanya nguvu zako hovyo, hivyo utapata taabu sana maishani, labda ujisalimishe kwa shetani full time. Kumbuka hizi ndizo nguvu zikupazo KUMILIKI juu ya nchi, hivyo ukizitumia hovyo huwezi kamwe kumiliki kwa mpango wa Mungu.

¹⁶ Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu (Street)?
¹⁷ Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.


** Chemchemi ni nguvu ya hisia ndani ya mwanaume. Chemchemi haipaswi kukauka, nayo hutoa maji na kujaza kwenye birika lake (mke) daima. Kumbukumbu kumbuka chemchemi hapa ni FOUNTAIN, yaani yale mapambano ya mji yanayotoa maji kisha kumwaga kisimani na kurudi tena. Mfano kwenye jengo kubwa nje wameweka sanamu la samaki akitoa maji mdomoni kisha yakamwagika bwawani alipo samaki huyo kufanya pambo zuri. Hiyo ndio fountain au chemchemi inayosemwa hapa. Kwamba mwanamume anatoa emotional energy kama maji hayo nayo yanahifadhiwa kwa mkewe, kisha hurudi kwake tena na mzunguko huendelea. Fountain haimwagi maji hovyo mtaani, kwani ni yake tu na bwawa (birika) lake (mke).

“Should your fountains be dispersed abroad, Streams of water in the streets?”
— Prov 5:16


Mito ya maji ni shahawa ambazo hutoka kama uthibitisho wa hisia katika mwili. Huwezi kumwaga maji kwenye njia kuu (street - kjv) kila mtu anapita anajisevia tu. Yaani wewe unagawa nguvu zako hovyo kwa wanawake wageni wanaopita mtaani?

Sasa ni makosa kutoa hisia zako kwa wanawake wa mbali nawe zaidi ya mkeo. Tena usiruhusu kumwaga shahawa zako hovyo kwa uzinzi kwani ni nguvu zako mwenyewe, zihifadhi mahali ambapo utakuwa ukizichota tena na tena ili kupata nguvu zaidi. Tena mkiunganisha nguvu zako za chemchemi na nguvu za kisima cha mkeo kuimiliki nchi.

¹⁸ Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.
¹⁹ Ni ayala apendaye na paa apendezaye; Maziwa yake yakutoshe sikuzote; Na kwa upendo wake ushangilie daima
.

** Hapo ndipo zilipo baraka za Mungu, kwenye chemchemi yako. Ndipo zilipo nguvu zako kutoka kwa Mungu zikupazo utajiri. Ni hapo palipo na furaha ya mke wa ujana (bikra) kwa sababu ni mke wa agano lako.

Inaendelea........
IMG_20200808_191256.jpg




Maya Angelou, Africa Tanzania, dumbi, LOGARITHM, Sergei Lavrov, LOVE U JF, korino, Mshuza2, park don, Surya, big-diamond, Mwanamena, Tajiri wa Magomeni, dudupori, Bubolwa Chura, Patra31, Depal, alumn, Ed Kawiche, Sexless, The 13, Avriel, Styles
yna2, ngebo, iMind, HoneyBee, Will jr, gbmm, True Believer, Saint Anne, client3, Boeing 757
 

Attachments

  • images%20(12).jpg
    images%20(12).jpg
    38.9 KB · Views: 28
**************************************
**************************************

Mapenzi na wengi
Mwanamke akifanya mapenzi na wanaume wengi huhifadhi copy zao ndani yake. Hata pale ajapoolewa zitamsumbua sana, kwani mwanamume wa awali akitaka mchezo, kopi yake iliyo ndani ya mwanamke huamka na kuutiisha mwili. Hujikuta dhaifu mno asiyeweza kujizuia kuutoa mwili wa mumewe kwa mwanamume mwingine. Ukitaka kuamini hili ongea na mwanamke, pale aonapo picha ya mpenzi wake wa zamani, au akipigiwa naye simu asikiapo sauti, au wakikutana ghafla hata kama ni baada ya miaka mingi kupita, hisia za awali huamka ndani yake. Unahitaji juhudi ndogo tu kulala na mwanamke huyu tena kwa sababu tayari kuna kivuli chako moyoni mwake.

Sasa mfano binti asiyeolewa akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza, huweka agano la maisha na huyo mwanamume. Ndio maana wanawake wengi wako radhi kumvulia nguo mwanamume aliyewatoa bikira wakati wowote akitaka mchezo, hata kama wameolewa. Huwa kama kondoo aliye machinjioni akisubiri kisu tu kipite shingoni. Nguvu ya agano la damu hutenda kazi.

Lakini binti huyu kadri anavyoendelea kutembea na wanaume mbalimbali hujiwekea ndani yake copy zao na kusababisha machafuko katika ulimwengu wa roho. Nafsi yake huwa na muunganiko na nafsi mbalimbali za wanaume, hivyo hata kama ataolewa, ni vigumu mno kwa mume wake kumtuliza nafsi mwanamke huyu, kwa sababu wameungana kimwili lakini kiroho sio mwili mmoja . Mwili mmoja ni pale nafsi mbili huru zinapoungana na kuwa nafsi moja. Ni vigumu sana kwa mwanamke huyu kudumu kwenye ndoa kwa sababu nafsi yake inaambatana na waume mbalimbali. Ni kwamba mwanamume mmoja kati ya wengi amejitwika mzigo wa kuuhifadhi mwili wa mwanamke huyu hali nafsi ikiwa na mafungamano mengi.

Mambo haya husababisha ndoa kuyumba na hivyo migogoro haitoisha kamwe. Tayari kuna muunganiko wa nafsi mbalimbali ambazo zina haki sawa ndani yenu. Ndio maana nasema ndoa sio jibu la mzinzi. Kwamba akioa au akiolewa ataacha!! Wala kwenda kanisani sio jibu hata kidogo. Kumbuka mwili ndio uendao kanisani, lakini roho yaweza kuwa mbali mno.

Hili pia ni jibu kwa wanawake wanaolalamika kuachwa na wanaume waliowatarajia kuwaoa. Mahusiano huwa matamu mpaka pale wanapofanya mapenzi, ndipo vurugu huanza, sababu tayari kuna muunganiko na wanaume wengine. Emotion energy za wanaume waliotangulia kuhifadhi ndani ya mwanamke zinapambana na energy ya mwanamume huyu mpya na kuvuruga mahusiano.

Siri ya mafanikio kwenye ndoa

Kuna wadau walianza kupinga hata kabla ya kusikia nini kinasemwa. Haya tuendelee...

Mungu alipowaumba Adamu na Eva aliwabariki kwa baraka ambazo NDIZO NGUVU za kuitawala dunia. Tusome:

Mwanzo 1

²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
²⁸ Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


** Hebu tuzitazame kwa kina hizi baraka:
1. Zaeni - tendo la ndoa
2. Mkaongezeke - tendo la ndoa
3. Mkaijaze nchi - tendo la ndoa
4. Na kuitiisha; kwamba mkisha tekeleza hayo mtaitiisha nchi,mtaitawala na kuwa himaya yenu. Zingatia hizi alama (;) kwamba maneno yanayofuata yanafafanua kuitiisha kwa jinsi gani. Kwa kutawala majini, angani na nchi kavu.

Hizo ndizo baraka alizopewa mwanadamu, lakini umegundua nini? Baraka hizo zimefungwa kwenye ndoa . Kwamba huwezi kuzaa ama kuongezeka pasipo tendo la ndoa. Hapo ndipo ilipo nguvu ya barakahizo.

Kumbukumbu la Torati 8
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Amri hii ninayokuamuru leo mtaishika kuitenda, mpate kuishi na kuongezeka, na kuingia katika nchiile ambayo Bwana aliwaapia baba zenu; nanyi mtaimiliki.


** Tazama kwa umakini, Mungu anarudia ahadi ile ile ya Adam na Eva kwa wana wa Israeli.

1. Mpate kuishi - tunatengeneza uhai kwa tendo la ndoa
2. Kuongezeka - kuijaza nchi
3. Kuingia katika nchi
4. Kuimiliki - kuitiisha

Kumbe kuishika amri ya Bwana kunapelekea baraka zake maishani mwetu. Tena mbele kidogo Tu aliendelea kuweka wazi:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

** Hapo kuna maana nzito mno katika roho. Nikusihi weka akika neno hili nitalielezea hapo chini, lakini kwanza tuone hili:

¹⁷ Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo.
¹⁸ Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lakealilowapa baba zako, kama hivi leo.


** Mungu ndiye atupaye nguvu za kupata utajiri. Waendao kwa wachawi hupata nguvu zao huko, kwa sababu hawaelewi zilipo nguvu za Mungu. Agano la Mungu ni kumrejeshea mwanadamu umiliki wa dunia, ilivyokuwa kwa Adamu na Eva. Nguvu ya agano hili imo katika emotions. Kama vile Adamu alivyofunga agano hili kwa kutoa bikra ya Eva, ndivyo mwanamume anavyofunga aganohili kwa kutoa bikra ya binti.

Sasa tuangalie kuhusu hiyo aya tuliyoiacha hapo juu:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

Aya hii (vijito, chemchemi, visima) imeelezewa vema hapa:

[Mithali 5[/B]
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁵ Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.


** Hapa moyo wa mwanamke umefananishwa na birika, au tanki (cistern), ambamo mwanamume huhifadhi nguvu zake za hisia (emotional energy). Halafu tena sehemu zake za siri zimefahamishwa na kisima kinachobubujisha maji ambamo mwanamume humwaga mbegu zake humo na kuburudika.

Kwa hiyo, mwanamume anapaswa kunywa maji aliyohifadhi mwenyewe ndani ya birika ambalo ni mwanamke (emotions). Hii ni nguvu aiwekayo mwanamume ndani ya mwanamke. Kumbe mwanamke humpenda mume kwa kadri anavyokeza ndani yake hisia zake. Lugha nyepesi, utavuna ulichopanda. Mwanamke pia HATAKIWI KATU kuingiza nguvu nyingine tofauti na mumewe, kwani kufanya hivyo ni kuleta vurugu katika roho. Biblia inamwasa mwanamume kuwa anywe maji ya birika lake mwenyewe , sio kwenye birika la jumuiya. Kwamba mtu ambaye ameshaitoa nafsi yake kwa wanaume wengine, wakaweka hisia zao ndani yake, wakamwacha. Ndio maana wanawake wengi hutembea na majeraha ya kuachwa na wapenzi wao wa kale, kisha huingia kwenye mahusiano mapya wakiwa na SURA ZA WANAUME waliowajeruhi. Ndizo hadithi za wanaume wote wako hivyo.

Kisha mwanamume na anywe maji kutoka kisima (sehemu za siri)chake tu, yaani kujamiiana na mkewe tu. Katika nguvu za hisia, anywe katika birika alilojaza, kimwili sasa anywe katika kisima chake tu. Kutembea na wanawake wengi ni kutawanya nguvu zako hovyo, hivyo utapata taabu sana maishani, labda ujisalimishe kwa shetani full time. Kumbuka hizi ndizo nguvu zikupazo KUMILIKI juu ya nchi, hivyo ukizitumia hovyo huwezi kamwe kumiliki kwa mpango wa Mungu.

¹⁶ Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu (Street)?
¹⁷ Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.


** Chemchemi ni nguvu ya hisia ndani ya mwanaume. Chemchemi haipaswi kukauka, nayo hutoa maji na kujaza kwenye birika lake (mke) daima. Kumbukumbu kumbuka chemchemi hapa ni FOUNTAIN, yaani yale mapambano ya mji yanayotoa maji kisha kumwaga kisimani na kurudi tena. Mfano kwenye jengo kubwa nje wameweka sanamu la samaki akitoa maji mdomoni kisha yakamwagika bwawani alipo samaki huyo kufanya pambo zuri. Hiyo ndio fountain au chemchemi inayosemwa hapa. Kwamba mwanamume anatoa emotional energy kama maji hayo nayo yanahifadhiwa kwa mkewe, kisha hurudi kwake tena na mzunguko huendelea. Fountain haimwagi maji hovyo mtaani, kwani ni yake tu na bwawa (birika) lake (mke).

“Should your fountains be dispersed abroad, Streams of water in the streets?”
— Prov 5:16


Mito ya maji ni shahawa ambazo hutoka kama uthibitisho wa hisia katika mwili. Huwezi kumwaga maji kwenye njia kuu (street - kjv) kila mtu anapita anajisevia tu. Yaani wewe unagawa nguvu zako hovyo kwa wanawake wageni wanaopita mtaani?

Sasa ni makosa kutoa hisia zako kwa wanawake wa mbali nawe zaidi ya mkeo. Tena usiruhusu kumwaga shahawa zako hovyo kwa uzinzi kwani ni nguvu zako mwenyewe, zihifadhi mahali ambapo utakuwa ukizichota tena na tena ili kupata nguvu zaidi. Tena mkiunganisha nguvu zako za chemchemi na nguvu za kisima cha mkeo kuimiliki nchi.

¹⁸ Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.
¹⁹ Ni ayala apendaye na paa apendezaye; Maziwa yake yakutoshe sikuzote; Na kwa upendo wake ushangilie daima
.

** Hapo ndipo zilipo baraka za Mungu, kwenye chemchemi yako. Ndipo zilipo nguvu zako kutoka kwa Mungu zikupazo utajiri. Ni hapo palipo na furaha ya mke wa ujana (bikra) kwa sababu ni mke wa agano lako.

Inaendelea........ View attachment 1531300



Maya Angelou, Africa Tanzania, dumbi, LOGARITHM, Sergei Lavrov, LOVE U JF, korino, Mshuza2, park don, Surya, big-diamond, Mwanamena, Tajiri wa Magomeni, dudupori, Bubolwa Chura, Patra31, Depal, alumn, Ed Kawiche, Sexless, The 13, Avriel, Styles
yna2, ngebo, iMind, HoneyBee, Will jr, gbmm, True Believer, Saint Anne, client3, Boeing 757
Asante mkuu naona umeongelea sana kuhusu agano la damu(mwanamke bikra)je hali ikoje kwasisi ambao hatujakutana na hizo bikra mpaka kwa wake zetu?
 
Kwenye kila sheria kuna namna ya kuivunja na namna ya kukabiliana na madhara ya kuivunja sheria...sheria ipo ivunjwe


Sasa humu waluooa bikra wachache sitarajii uniambie hakuna namna ya kuokoa ndoa hizi katika ya mwanaume na mwanamke used zaidi ya kuzivunja...

How to pay,solution?????
 
Kwenye kila sheria kuna namna ya kuivunja na namna ya kukabiliana na madhara ya kuivunja sheria...sheria ipo ivunjwe


Sasa humu waluooa bikra wachache sitarajii uniambie hakuna namna ya kuokoa ndoa hizi katika ya mwanaume na mwanamke used zaidi ya kuzivunja...

How to pay,solution?????
Ndiko tunakoelekea mkuu, kwanza tunaanza kusoma utaratibu, kisha remedy kwa kushindwa kuishika.
 
Asante mkuu naona umeongelea sana kuhusu agano la damu(mwanamke bikra)je hali ikoje kwasisi ambao hatujakutana na hizo bikra mpaka kwa wake zetu?
Nakuja huko mkuu, ndiko nakoelekea kwa sababu kuona namna ya kufanya marekebisho ili kufuta hayo yote na kuanza upya
 
Umeanza kuandika vizuri,Ila pale ulipoanza kunukuu sijui Cha kutoka ndo umenifukuza.i
 
**************************************
SEHEMU YA TATU
**************************************

Malaki 2
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
¹⁵ Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
¹⁶ Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.


** Ukimtenda bila uaminifu mkeo basi elewa unajifungia baraka za Mungu juu yako. Ukiwa mchepukaji Mungu hawezi kamwe kukusikiliza ukimwomba kwa sababu analikumbuka agano lako kwa mkeo. Tena mara mbili Mungu anasisitiza JIHADHARI ROHO ZENU, kwa maana mambo yote huanzia rohoni kisha tunayatimiza katika mwili. Mungu amekupa NGUO SAFI isiyo mawaa, mke wa ujana wako, kisha wewe unaichafua kwa udhalimu, kwa kumtenda vibaya mkeo, Mungu asema wazi kuwa anakuchukia!! Mtu awaye yote asimtende mkewe kwa hiyana (treacherously).

1 Petro 3

⁷ Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.


** Hapa wengi wamepatumia kama silaha ya kuwachapia wanawake. Lakini ni nini hasa kusudi la aya hii?

Wanaume ishini na wake zenu kwa BUSARA (according to knowledge). Sio hii tusemayo akili mkichwa, ama umfiche mkeo mambo yako, si kweli kabisa. Tena aya inasema UKIMPA HESHIMA(honour). Hii ni heshima itokayo kwa Mungu ambayo ndiyo iliyobeba BARAKA ZENU:

1 Mambo ya Nyakati 29

¹² Utajiri na heshima hutoka kwako wewe, nawe watawala juu ya vyote; na mkononi mwako mna uweza na nguvu; tena mkononi mwako mna kuwatukuza na kuwawezesha wote.


** Kwa hiyo hii ni heshima ya kiungu ya kumtendea mke kwa kadri ya Agano la ndoa. Kwamba usiwe na mafungamano ya nafsi na wanawake wengine, kwanini? Kwa sababu mwanamke ni KAMA CHOMBO (kilicho baharini) KISICHO NA NGUVU (a WEAKER vessel), hakiwezi kuhimili dhoruba kubwa, hatimaye husombwa na upepo kokote uendako.

Mfano: mume ni kama boti yenye injini na mke ni kama mtumbwi wenye injini. Pamoja na kuwa vyote vina injini, uwezo wa kuhimili dhoruba umetofautiana. Lakini kwa kuwa mnakuwa safari moja mkienda kituo kimoja (mmekuwa nafsi moja) mnaamua kuungana, boti ikivuta mtumbwi (miili yenu ni kama boti na mtumbwi). Sasa ikitokea mume kutaka kufanya mambo binafsi, itambidi kufungua mtumbwi na kuendesha boti kwenda atakako. Wakati huo mtumbwi utakuwa peke yake katikati ya bahari. Ni heri kama bahari haitochafuka , iendelee kuwa na mawimbi madogo madogo ambayo mtumbwi unaweza kuyahimili. Lakini kama ikitokea dhoruba basi ni rahisi sana kutwaliwa na mawimbi na kusombwa kokote kule. Ndiyo ilivyo kwa mke pia akiamua kuwa na mambo binafsi.

Kama utamletea dhoruba mkeo ndani, aweza kushindwa kuhimili na hivyo akasombwa na ushauri wa mashoga zake, au akapitiwa na wanaume waviziaji nk. Ieleweke kwamba sisi sote mume na mke ni wadhaifu, ila mwanamke ni dhaifu zaidi (weaker). Unapofanya uzinzi unaleta mkanganyiko katika ulimwengu wa roho, unafungua vifungo vya ndoa, hivyo kunapelekea mke naye sababu ya UDHAIFU WAKE kujikuta akitii mwili na kwenda kuzini nje.

Si hilo tu, ukimtendea mambo yasiyofaa, ni rahisi mno kwa mwanamke kuanguka majaribuni kwa sababu uimara wake unategemea sana wewe umemweka vipi rohoni mwako. Je, ni nafsi moja nawe, au ni kama kijakazi wako? Ni jukumu lako kama mume kuziba hilo gap la udhaifu kwa kumjaza emotions katika birika lake ndipo utavuna matunda yako.

Hivyo basi, ili kuona matokeo chanya ya maombi yenu, ni lazima MUWE NA NIA MOJA, mkiongozwa na dhamira safi. Sio habari ya kuvumiliana tu, ni lazima muwe na roho safi msio na lawama mbele za Mungu, hapo ombeni lolote kwa jina la Yesu, Mungu atajibu. Ni ajabu watu wanapenda tu kupatana na washitaki wao ili wakatoe sadaka, huku wakisahau kuwa WAKE ZAO NDIO WASHTAKI NAMBARI MOJA . Hawapatani na wake zao bali hukimbilia kupatana na marafiki na watu wengine, wanawadharau wake zao waliobeba baraka zao. Kwa jinsi hii maombi mengi mno yamezuiliwa sio na Mungu, bali na mke ama mume. Wamekuwa mwili mmoja lakini wenye nia tofauti, mke ana kinyongo, mume anadharau, kisha wanamlilia Mungu awape baraka. Mungu huitazama ndoa kama nafsi moja ndani ya miili miwili, hivyo iweni wenye nia moja. Inawezakana vipi?

Msitafute kuridhishana ninyi kwa ninyi bali tafuteni kumridhisha Mungu !! Maisha yenu yawe kwa kusudi la kumpendeza Mungu, hiyo ndio iwe nia yenu, nanyi hamtopishana katika jambo lolote. Ukichunguza kwa makini, migogoro yote ni juu ya mambo ya kidunia lakini Mungu ni Yeye yule. Mfano wakati mke anataka kujenga kwanza, mume anataka gari la kurahisisha mizunguko. Lakini wote hawatofautiani kuhusu Mungu. Hata migogoro ya kidini ni mambo ya namna hiyo, wengine wanasema Mungu anaponya, wengine wanasema haponyi, wengine wanasema Mungu anaishi mbinguni wengine wanasema yupo hapa hapa duniani nk. Lakini Mungu ni Yeye yule na Neno lake ni AMINI.

Tena hapa tunazidi kuona heshima ipi anayostahili mke wa ndoa? Hebu soma hapa ili usijezuiliwa maombi yako tena:

Mithali 5

³ Maana midomo ya malayahudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
⁴ Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.


⁸ Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.
Usije ukawapa wengine heshima yako, Na wakorofi miaka yako;


** Epuka kabisa kucheza na malaya, ukatoa heshima anayostahili mkeo kwa kahaba. Mpe heshima yako mkeo tu (emotion & reproductive energy). Hii ndiyo heshima inayosemwa hapa, sio kumwita honey, baby, mrembo, barafu wa moyo nk. huku ukiishi katika uzinzi. Mpe NGUVU ZAKO kwani yeye ni hazina yako, nawe ujapompa hutapungukiwa kamwe, bali zitakurudia wakati wa uhitaji. Kiendacho kwa kahaba hakurudi, hicho hupotea milele.

Itaendelea............

¹⁰ Wageni wasije wakashiba nguvu zako; Kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni;
¹¹ Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;
¹² Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


** Usiwape wanawake wageni nguvu zako, emotins, wasijekufanya mateka wakajinufaisha kwa nguvu zako. Wanawake hawa ndio waendao kwa waganga kusudi kuwanasa wanaume wapumbavu, kisha huzichukua nguvu zao za kiroho na kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Kama huamini tazama jinsi wanavyochukua shahawa za mwanamume mzinifu na kuzipeleka kwa waganga, kwani hapo mganga huipata nafsi ya huyu mjinga. Kisha humfanya mateka. Ndoa ya mwanamume huyu hugeuka kaa la moto kwa sababu sorce ya ndoa (nafsi) iko mateka, mkewe hubaki kutapatapa asijue la kufanya.

Itaendelea...... [/i][/B][/B]
 
**************************************
SEHEMU YA TATU
**************************************

Malaki 2
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
¹⁵ Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
¹⁶ Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.


** Ukimtenda bila uaminifu mkeo basi elewa unajifungia baraka za Mungu juu yako. Ukiwa mchepukaji Mungu hawezi kamwe kukusikiliza ukimwomba kwa sababu analikumbuka agano lako kwa mkeo. Tena mara mbili Mungu anasisitiza JIHADHARI ROHO ZENU, kwa maana mambo yote huanzia rohoni kisha tunayatimiza katika mwili. Mungu amekupa NGUO SAFI isiyo mawaa, mke wa ujana wako, kisha wewe unaichafua kwa udhalimu, kwa kumtenda vibaya mkeo, Mungu asema wazi kuwa anakuchukia!! Mtu awaye yote asimtende mkewe kwa hiyana (treacherously).

1 Petro 3

⁷ Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.


** Hapa wengi wamepatumia kama silaha ya kuwachapia wanawake. Lakini ni nini hasa kusudi la aya hii?

Wanaume ishini na wake zenu kwa BUSARA (according to knowledge). Sio hii tusemayo akili mkichwa, ama umfiche mkeo mambo yako, si kweli kabisa. Tena aya inasema UKIMPA HESHIMA(honour). Hii ni heshima itokayo kwa Mungu ambayo ndiyo iliyobeba BARAKA ZENU:

1 Mambo ya Nyakati 29

¹² Utajiri na heshima hutoka kwako wewe, nawe watawala juu ya vyote; na mkononi mwako mna uweza na nguvu; tena mkononi mwako mna kuwatukuza na kuwawezesha wote.


** Kwa hiyo hii ni heshima ya kiungu ya kumtendea mke kwa kadri ya Agano la ndoa. Kwamba usiwe na mafungamano ya nafsi na wanawake wengine, kwanini? Kwa sababu mwanamke ni KAMA CHOMBO (kilicho baharini) KISICHO NA NGUVU (a WEAKER vessel), hakiwezi kuhimili dhoruba kubwa, hatimaye husombwa na upepo kokote uendako.

Mfano: mume ni kama boti yenye injini na mke ni kama mtumbwi wenye injini. Pamoja na kuwa vyote vina injini, uwezo wa kuhimili dhoruba umetofautiana. Lakini kwa kuwa mnakuwa safari moja mkienda kituo kimoja (mmekuwa nafsi moja) mnaamua kuungana, boti ikivuta mtumbwi (miili yenu ni kama boti na mtumbwi). Sasa ikitokea mume kutaka kufanya mambo binafsi, itambidi kufungua mtumbwi na kuendesha boti kwenda atakako. Wakati huo mtumbwi utakuwa peke yake katikati ya bahari. Ni heri kama bahari haitochafuka , iendelee kuwa na mawimbi madogo madogo ambayo mtumbwi unaweza kuyahimili. Lakini kama ikitokea dhoruba basi ni rahisi sana kutwaliwa na mawimbi na kusombwa kokote kule. Ndiyo ilivyo kwa mke pia akiamua kuwa na mambo binafsi.

Kama utamletea dhoruba mkeo ndani, aweza kushindwa kuhimili na hivyo akasombwa na ushauri wa mashoga zake, au akapitiwa na wanaume waviziaji nk. Ieleweke kwamba sisi sote mume na mke ni wadhaifu, ila mwanamke ni dhaifu zaidi (weaker). Unapofanya uzinzi unaleta mkanganyiko katika ulimwengu wa roho, unafungua vifungo vya ndoa, hivyo kunapelekea mke naye sababu ya UDHAIFU WAKE kujikuta akitii mwili na kwenda kuzini nje.

Si hilo tu, ukimtendea mambo yasiyofaa, ni rahisi mno kwa mwanamke kuanguka majaribuni kwa sababu uimara wake unategemea sana wewe umemweka vipi rohoni mwako. Je, ni nafsi moja nawe, au ni kama kijakazi wako? Ni jukumu lako kama mume kuziba hilo gap la udhaifu kwa kumjaza emotions katika birika lake ndipo utavuna matunda yako.

Hivyo basi, ili kuona matokeo chanya ya maombi yenu, ni lazima MUWE NA NIA MOJA, mkiongozwa na dhamira safi. Sio habari ya kuvumiliana tu, ni lazima muwe na roho safi msio na lawama mbele za Mungu, hapo ombeni lolote kwa jina la Yesu, Mungu atajibu. Ni ajabu watu wanapenda tu kupatana na washitaki wao ili wakatoe sadaka, huku wakisahau kuwa WAKE ZAO NDIO WASHTAKI NAMBARI MOJA . Hawapatani na wake zao bali hukimbilia kupatana na marafiki na watu wengine, wanawadharau wake zao waliobeba baraka zao. Kwa jinsi hii maombi mengi mno yamezuiliwa sio na Mungu, bali na mke ama mume. Wamekuwa mwili mmoja lakini wenye nia tofauti, mke ana kinyongo, mume anadharau, kisha wanamlilia Mungu awape baraka. Mungu huitazama ndoa kama nafsi moja ndani ya miili miwili, hivyo iweni wenye nia moja. Inawezakana vipi?

Msitafute kuridhishana ninyi kwa ninyi bali tafuteni kumridhisha Mungu !! Maisha yenu yawe kwa kusudi la kumpendeza Mungu, hiyo ndio iwe nia yenu, nanyi hamtopishana katika jambo lolote. Ukichunguza kwa makini, migogoro yote ni juu ya mambo ya kidunia lakini Mungu ni Yeye yule. Mfano wakati mke anataka kujenga kwanza, mume anataka gari la kurahisisha mizunguko. Lakini wote hawatofautiani kuhusu Mungu. Hata migogoro ya kidini ni mambo ya namna hiyo, wengine wanasema Mungu anaponya, wengine wanasema haponyi, wengine wanasema Mungu anaishi mbinguni wengine wanasema yupo hapa hapa duniani nk. Lakini Mungu ni Yeye yule na Neno lake ni AMINI.

Tena hapa tunazidi kuona heshima ipi anayostahili mke wa ndoa? Hebu soma hapa ili usijezuiliwa maombi yako tena:

Mithali 5

³ Maana midomo ya malayahudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
⁴ Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.


⁸ Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.
Usije ukawapa wengine heshima yako, Na wakorofi miaka yako;


** Epuka kabisa kucheza na malaya, ukatoa heshima anayostahili mkeo kwa kahaba. Mpe heshima yako mkeo tu (emotion & reproductive energy). Hii ndiyo heshima inayosemwa hapa, sio kumwita honey, baby, mrembo, barafu wa moyo nk. huku ukiishi katika uzinzi. Mpe NGUVU ZAKO kwani yeye ni hazina yako, nawe ujapompa hutapungukiwa kamwe, bali zitakurudia wakati wa uhitaji. Kiendacho kwa kahaba hakurudi, hicho hupotea milele.

Itaendelea............

¹⁰ Wageni wasije wakashiba nguvu zako; Kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni;
¹¹ Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;
¹² Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


** Usiwape wanawake wageni nguvu zako, emotins, wasijekufanya mateka wakajinufaisha kwa nguvu zako. Wanawake hawa ndio waendao kwa waganga kusudi kuwanasa wanaume wapumbavu, kisha huzichukua nguvu zao za kiroho na kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Kama huamini tazama jinsi wanavyochukua shahawa za mwanamume mzinifu na kuzipeleka kwa waganga, kwani hapo mganga huipata nafsi ya huyu mjinga. Kisha humfanya mateka. Ndoa ya mwanamume huyu hugeuka kaa la moto kwa sababu sorce ya ndoa (nafsi) iko mateka, mkewe hubaki kutapatapa asijue la kufanya.

Itaendelea...... [/i][/B][/B]
Bado watabisha baadhi yao
 
**************************************
SEHEMU YA PILI
**************************************

Mapenzi na wengi
Mwanamke akifanya mapenzi na wanaume wengi huhifadhi copy zao ndani yake. Hata pale ajapoolewa zitamsumbua sana, kwani mwanamume wa awali akitaka mchezo, kopi yake iliyo ndani ya mwanamke huamka na kuutiisha mwili. Hujikuta dhaifu mno asiyeweza kujizuia kuutoa mwili wa mumewe kwa mwanamume mwingine. Ukitaka kuamini hili ongea na mwanamke, pale aonapo picha ya mpenzi wake wa zamani, au akipigiwa naye simu asikiapo sauti, au wakikutana ghafla hata kama ni baada ya miaka mingi kupita, hisia za awali huamka ndani yake. Unahitaji juhudi ndogo tu kulala na mwanamke huyu tena kwa sababu tayari kuna kivuli chako moyoni mwake.

Sasa mfano binti asiyeolewa akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza, huweka agano la maisha na huyo mwanamume. Ndio maana wanawake wengi wako radhi kumvulia nguo mwanamume aliyewatoa bikira wakati wowote akitaka mchezo, hata kama wameolewa. Huwa kama kondoo aliye machinjioni akisubiri kisu tu kipite shingoni. Nguvu ya agano la damu hutenda kazi.

Lakini binti huyu kadri anavyoendelea kutembea na wanaume mbalimbali hujiwekea ndani yake copy zao na kusababisha machafuko katika ulimwengu wa roho. Nafsi yake huwa na muunganiko na nafsi mbalimbali za wanaume, hivyo hata kama ataolewa, ni vigumu mno kwa mume wake kumtuliza nafsi mwanamke huyu, kwa sababu wameungana kimwili lakini kiroho sio mwili mmoja . Mwili mmoja ni pale nafsi mbili huru zinapoungana na kuwa nafsi moja. Ni vigumu sana kwa mwanamke huyu kudumu kwenye ndoa kwa sababu nafsi yake inaambatana na waume mbalimbali. Ni kwamba mwanamume mmoja kati ya wengi amejitwika mzigo wa kuuhifadhi mwili wa mwanamke huyu hali nafsi ikiwa na mafungamano mengi.

Mambo haya husababisha ndoa kuyumba na hivyo migogoro haitoisha kamwe. Tayari kuna muunganiko wa nafsi mbalimbali ambazo zina haki sawa ndani yenu. Ndio maana nasema ndoa sio jibu la mzinzi. Kwamba akioa au akiolewa ataacha!! Wala kwenda kanisani sio jibu hata kidogo. Kumbuka mwili ndio uendao kanisani, lakini roho yaweza kuwa mbali mno.

Hili pia ni jibu kwa wanawake wanaolalamika kuachwa na wanaume waliowatarajia kuwaoa. Mahusiano huwa matamu mpaka pale wanapofanya mapenzi, ndipo vurugu huanza, sababu tayari kuna muunganiko na wanaume wengine. Emotion energy za wanaume waliotangulia kuhifadhi ndani ya mwanamke zinapambana na energy ya mwanamume huyu mpya na kuvuruga mahusiano.

Siri ya mafanikio kwenye ndoa

Kuna wadau walianza kupinga hata kabla ya kusikia nini kinasemwa. Haya tuendelee...

Mungu alipowaumba Adamu na Eva aliwabariki kwa baraka ambazo NDIZO NGUVU za kuitawala dunia. Tusome:

Mwanzo 1

²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
²⁸ Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


** Hebu tuzitazame kwa kina hizi baraka:
1. Zaeni - tendo la ndoa
2. Mkaongezeke - tendo la ndoa
3. Mkaijaze nchi - tendo la ndoa
4. Na kuitiisha; kwamba mkisha tekeleza hayo mtaitiisha nchi,mtaitawala na kuwa himaya yenu. Zingatia hizi alama (;) kwamba maneno yanayofuata yanafafanua kuitiisha kwa jinsi gani. Kwa kutawala majini, angani na nchi kavu.

Hizo ndizo baraka alizopewa mwanadamu, lakini umegundua nini? Baraka hizo zimefungwa kwenye ndoa . Kwamba huwezi kuzaa ama kuongezeka pasipo tendo la ndoa. Hapo ndipo ilipo nguvu ya barakahizo.

Kumbukumbu la Torati 8
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Amri hii ninayokuamuru leo mtaishika kuitenda, mpate kuishi na kuongezeka, na kuingia katika nchiile ambayo Bwana aliwaapia baba zenu; nanyi mtaimiliki.


** Tazama kwa umakini, Mungu anarudia ahadi ile ile ya Adam na Eva kwa wana wa Israeli.

1. Mpate kuishi - tunatengeneza uhai kwa tendo la ndoa
2. Kuongezeka - kuijaza nchi
3. Kuingia katika nchi
4. Kuimiliki - kuitiisha

Kumbe kuishika amri ya Bwana kunapelekea baraka zake maishani mwetu. Tena mbele kidogo Tu aliendelea kuweka wazi:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

** Hapo kuna maana nzito mno katika roho. Nikusihi weka akika neno hili nitalielezea hapo chini, lakini kwanza tuone hili:

¹⁷ Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo.
¹⁸ Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lakealilowapa baba zako, kama hivi leo.


** Mungu ndiye atupaye nguvu za kupata utajiri. Waendao kwa wachawi hupata nguvu zao huko, kwa sababu hawaelewi zilipo nguvu za Mungu. Agano la Mungu ni kumrejeshea mwanadamu umiliki wa dunia, ilivyokuwa kwa Adamu na Eva. Nguvu ya agano hili imo katika emotions. Kama vile Adamu alivyofunga agano hili kwa kutoa bikra ya Eva, ndivyo mwanamume anavyofunga aganohili kwa kutoa bikra ya binti.

Sasa tuangalie kuhusu hiyo aya tuliyoiacha hapo juu:

⁷ Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;

Aya hii (vijito, chemchemi, visima) imeelezewa vema hapa:

[Mithali 5[/B]
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁵ Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.


** Hapa moyo wa mwanamke umefananishwa na birika, au tanki (cistern), ambamo mwanamume huhifadhi nguvu zake za hisia (emotional energy). Halafu tena sehemu zake za siri zimefahamishwa na kisima kinachobubujisha maji ambamo mwanamume humwaga mbegu zake humo na kuburudika.

Kwa hiyo, mwanamume anapaswa kunywa maji aliyohifadhi mwenyewe ndani ya birika ambalo ni mwanamke (emotions). Hii ni nguvu aiwekayo mwanamume ndani ya mwanamke. Kumbe mwanamke humpenda mume kwa kadri anavyokeza ndani yake hisia zake. Lugha nyepesi, utavuna ulichopanda. Mwanamke pia HATAKIWI KATU kuingiza nguvu nyingine tofauti na mumewe, kwani kufanya hivyo ni kuleta vurugu katika roho. Biblia inamwasa mwanamume kuwa anywe maji ya birika lake mwenyewe , sio kwenye birika la jumuiya. Kwamba mtu ambaye ameshaitoa nafsi yake kwa wanaume wengine, wakaweka hisia zao ndani yake, wakamwacha. Ndio maana wanawake wengi hutembea na majeraha ya kuachwa na wapenzi wao wa kale, kisha huingia kwenye mahusiano mapya wakiwa na SURA ZA WANAUME waliowajeruhi. Ndizo hadithi za wanaume wote wako hivyo.

Kisha mwanamume na anywe maji kutoka kisima (sehemu za siri)chake tu, yaani kujamiiana na mkewe tu. Katika nguvu za hisia, anywe katika birika alilojaza, kimwili sasa anywe katika kisima chake tu. Kutembea na wanawake wengi ni kutawanya nguvu zako hovyo, hivyo utapata taabu sana maishani, labda ujisalimishe kwa shetani full time. Kumbuka hizi ndizo nguvu zikupazo KUMILIKI juu ya nchi, hivyo ukizitumia hovyo huwezi kamwe kumiliki kwa mpango wa Mungu.

¹⁶ Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu (Street)?
¹⁷ Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.


** Chemchemi ni nguvu ya hisia ndani ya mwanaume. Chemchemi haipaswi kukauka, nayo hutoa maji na kujaza kwenye birika lake (mke) daima. Kumbukumbu kumbuka chemchemi hapa ni FOUNTAIN, yaani yale mapambano ya mji yanayotoa maji kisha kumwaga kisimani na kurudi tena. Mfano kwenye jengo kubwa nje wameweka sanamu la samaki akitoa maji mdomoni kisha yakamwagika bwawani alipo samaki huyo kufanya pambo zuri. Hiyo ndio fountain au chemchemi inayosemwa hapa. Kwamba mwanamume anatoa emotional energy kama maji hayo nayo yanahifadhiwa kwa mkewe, kisha hurudi kwake tena na mzunguko huendelea. Fountain haimwagi maji hovyo mtaani, kwani ni yake tu na bwawa (birika) lake (mke).

“Should your fountains be dispersed abroad, Streams of water in the streets?”
— Prov 5:16


Mito ya maji ni shahawa ambazo hutoka kama uthibitisho wa hisia katika mwili. Huwezi kumwaga maji kwenye njia kuu (street - kjv) kila mtu anapita anajisevia tu. Yaani wewe unagawa nguvu zako hovyo kwa wanawake wageni wanaopita mtaani?

Sasa ni makosa kutoa hisia zako kwa wanawake wa mbali nawe zaidi ya mkeo. Tena usiruhusu kumwaga shahawa zako hovyo kwa uzinzi kwani ni nguvu zako mwenyewe, zihifadhi mahali ambapo utakuwa ukizichota tena na tena ili kupata nguvu zaidi. Tena mkiunganisha nguvu zako za chemchemi na nguvu za kisima cha mkeo kuimiliki nchi.

¹⁸ Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.
¹⁹ Ni ayala apendaye na paa apendezaye; Maziwa yake yakutoshe sikuzote; Na kwa upendo wake ushangilie daima
.

** Hapo ndipo zilipo baraka za Mungu, kwenye chemchemi yako. Ndipo zilipo nguvu zako kutoka kwa Mungu zikupazo utajiri. Ni hapo palipo na furaha ya mke wa ujana (bikra) kwa sababu ni mke wa agano lako.

Inaendelea........ View attachment 1531300



Maya Angelou, Africa Tanzania, dumbi, LOGARITHM, Sergei Lavrov, LOVE U JF, korino, Mshuza2, park don, Surya, big-diamond, Mwanamena, Tajiri wa Magomeni, dudupori, Bubolwa Chura, Patra31, Depal, alumn, Ed Kawiche, Sexless, The 13, Avriel, Styles
yna2, ngebo, iMind, HoneyBee, Will jr, gbmm, True Believer, Saint Anne, client3, Boeing 757


Naam!! Hapa nimeshiba hasa, hii imekata ile kiu sawasawa kabisa, watu kupinga habari za soul ties haibadilishi ukweli, na tunapinga ili kujifariji tuendelee na mazoea mabaya ya miili yetu.
Mwili unapozoea tabia/ hali fulani hutamani kuendelea hivyo maana mwili haupendi changes zitakazousababishia madhila au kuuondolea starehe yake, sasa nafsi inapopata maarifa mpya hatarishi kwa hii hali pendwa ya mwili basi mara moja mgogoro huibuka kati ya mwili na roho.
Na kwa sababu sasa vyote vi ndani ya mtu mmoja kitu kinachotokea ni DENIAL, kuukataa ukweli ili mwili uendelee kuburudika.... hapa sasa ni mashindano kati ya roho na mwili, na ushindi utategemea kipi kina nguvu zaidi kushinda kingine.

Asomaye na apone!
 
Ndio tunaelekea huko
1. Maana ya ndoa
2. Kwa nini ndoa zinayumba
3. Kwa nini mabinti hawaolewi
4. Hatua za kuchukua kuweka sawa
5. Furaha ya kweli katika ndoa
Utanitag ukifikia hapo Maana kunamadini hadim nimepata kutoka kwenye bandiko lako hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom