Boeing 757
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 288
- 615
Huyu jamaa anasema madini adimu sana.... Ubarikwe kwa kweli maana mabandiko yako kuna vitu baadhi umeviandika navifanyia practice...Naona maisha yangu yanaenda yakibadilika kidogo kidogo.. though itachukua muda.....be blessed Nyerere.