Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,275
- Thread starter
- #301
Good information Mr.Nyerere keep it up.
Asante sana mkuu wangu,
Good information Mr.Nyerere keep it up.
Kweli hii ni Long term plan
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Dunia inaendeshwa kwa visa na visasi. Propaganda ni mtaji mkubwa katika siasa siku zote. Usimuamini mwanadamu mwenzako hata akiwa nduguyo wa damu. Nimejifunza mengi hapa akhsante Yericko Nyerere.
Huwa nasikitika sana napoona sisi waafrica tunabaguana sababu ya ukabila.
Ukabila ni laana. Sio ajabu Mwenyezi Mungu aliamua kuwavuruga waisrael kwa lugha pengine ndio ulikuwa mwanzo wa ukabila na lugha.
Naamin waafrica sisi sote ni wamoja. Wewe unapua ndefu sijui nene hatutofautiani sana . We all from one place; mother Africa.
Nyie endeleeni na chuki na ukabila wa kipumbavu ambao ulipandikizwa na mzungu na mnafuata itikadi zao.
Shame!!
Hapo unamweleza nani mkuu?
Sasa tumeamua kuuvunja huo mpango wao
Mkuu kipi kimefanyika kuuharibu mpango huo?
Nalog off
Unaomba msaada wakurudishwa kwenu?Haah Good luck!lets wait and seeTanzania tuna wajibu mkubwa wa kui shape east Africa. Kama tulivyowasaidia south Africa, msumbiji na zimbabwe, basi hata hawa wanyarwanda tuwasaidie jamani.
Mbona tulirekebisha uganda, rwanda itatushindaje?
Hujui lolote kuhusu Rwanda ur article is totaly gross ufudu mtupu.Hujui lolote bro angaika na Chadema ya Rwanda yanaitaji mtu makini sio wewe una copy kwenye site za wahutu na kutafsiri
Tanzania tuna wajibu mkubwa wa kui shape east Africa. Kama tulivyowasaidia south Africa, msumbiji na zimbabwe, basi hata hawa wanyarwanda tuwasaidie jamani.
Mbona tulirekebisha uganda, rwanda itatushindaje?