Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,275
- Thread starter
- #261
Mbona hamna update ya vita dhidi ya M23? Nini kinaendelea?
Majeshi ya UN yanayoongozwa na JWTZ yamefanikiwa kuwarudisha nyuma M23 kutoka viunga vya Goma hadi Ruhengeri kaskazini magharibi mwa Rwanda,
Tanzania tumepeleka ombi UN la kutupa kibali cha kuwashughurikia rasmi!