KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,475
- 57,543
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?