Uwezekano mkubwa ni maambukizi ya mange mites. Yanatibika. Suluhisho ni kutafuta mtaalamu wa tiba ya amshughulikie.Uyu mbwa vp? Ni kwa anaumwa au ndo kazeeka? Coz namuonea huruma sana na km ana vidonda mwili mzima. N
atamani hata ningemchoma sindano ya euthanasia tu apumzike coz anaona anateseka sana hata kutembea kwa shida sasa na iyo ngozi ndo kabisa.
View attachment 2973086View attachment 2973089