Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,524
- 34,347
Mwaka 2021 nilishangaa Msafara Wa Waziri Mkuu ulivyokuwa haujapangiliwa vizuri na nikasema ule ulikuwa ni upotevu Wa Hela za umma.
- Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?
Leo Tena nimeshuhudia magari ya serikali yakiwa kwenye Msafara mji mdogo Wa Ifakara.
Magari hayo yalipofika kwenye Hoteli ya Mountain Peak ghafla Kwa Kasi ya ajabu yakageuza na kurudi yalikotoka.
Watu wamepigwa na butwaa imekuwaje gari la Polisi ililokuwa linaongoza msafara limeachwa nyuma na lile lenye milingoti ya bendera limetangulia mbele bila ya kusubiria magari mengine yaliyomo kwenye Msafara.
kimetokea Nini Msafara kuvurugika hivi, maana siyo kawaida.
- Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?
Leo Tena nimeshuhudia magari ya serikali yakiwa kwenye Msafara mji mdogo Wa Ifakara.
Magari hayo yalipofika kwenye Hoteli ya Mountain Peak ghafla Kwa Kasi ya ajabu yakageuza na kurudi yalikotoka.
Watu wamepigwa na butwaa imekuwaje gari la Polisi ililokuwa linaongoza msafara limeachwa nyuma na lile lenye milingoti ya bendera limetangulia mbele bila ya kusubiria magari mengine yaliyomo kwenye Msafara.
kimetokea Nini Msafara kuvurugika hivi, maana siyo kawaida.