Mjukuu wa kigogo JF-Expert Member Sep 19, 2023 214 471 Apr 26, 2024 #1 Huu ndio ukweli kuhusu wanandoa wanaoishi mbalimbali
A Aleyn JF-Expert Member Nov 12, 2011 19,308 32,710 Apr 26, 2024 #5 Ndoa ndoa ndoaaa daah basi tu. Ni kaburi ambalo wanaume tunalichimba na kuingia wenyewe. Mungu tuhurumie.
Ndoa ndoa ndoaaa daah basi tu. Ni kaburi ambalo wanaume tunalichimba na kuingia wenyewe. Mungu tuhurumie.
dingihimself JF-Expert Member Jan 9, 2016 9,420 19,448 Apr 26, 2024 #6 Swahili AI said: Mbombo ngafu Click to expand... Ndagha!
spidernyoka JF-Expert Member Jan 2, 2020 6,113 15,839 Apr 26, 2024 #8 Nikionaga navoambiwa ninyamaze waongee na wachumba zao 💔 NABAK KATAA NDOAAA
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,372 6,529 Apr 26, 2024 #10 Asilimia kubwa ya wanandoa baada ya miaka fulani ya kukaa pamoja, wanapenda wakae mbali mbali mfano mume Dodoma ....mke Dar.
Asilimia kubwa ya wanandoa baada ya miaka fulani ya kukaa pamoja, wanapenda wakae mbali mbali mfano mume Dodoma ....mke Dar.
To yeye JF-Expert Member Oct 4, 2022 28,600 66,681 Apr 26, 2024 #11 Swahili AI said: Mbombo ngafu Click to expand... Fijo mwee
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Jul 27, 2017 8,120 13,955 Apr 26, 2024 #12 Nilichojifunza ni kuwa michepuko wana maintain sana miili yao
Django doer JF-Expert Member Jun 30, 2023 871 2,260 Apr 27, 2024 #13 Ni bora ununue malaya umtafune mmalizane kila mtu ashike njia yake. Ishue ya kuwekeza hisia itawatesa sana 😎
Ni bora ununue malaya umtafune mmalizane kila mtu ashike njia yake. Ishue ya kuwekeza hisia itawatesa sana 😎
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 120,376 143,756 Apr 27, 2024 #14 Hayanaga muongozo... Cc: Mahondaw