GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 531
- Thread starter
- #181
Unaokoa freight cost muda pia utapata gari lako ndani ya siku tatu hadi nne, utakoa gharama fula ndogo lakini ushuru mkuu.Kwahiyo kwenye kuokoa gharama hamna pesa ya maana inayookolewa...Gharama utakazotumia Japan ni almost hizo hizo utatumia ukinunua SA. Njia ya SA sounds very scary mkuu,risk za ajali na kutekwa na majambazi,nadhan ndio maana watu wengi wanaona hela Japan.
Mambo ya ajali na ujambasi sio kweli.