It's NO, Gari iliyosajiliwa SA unaendesha kama kawaidaNasikia Sauzi uruhusiwi kutembeza gari lililonunuliwa ni lazimaa libebwee
It's NO, Gari iliyosajiliwa SA unaendesha kama kawaidaNasikia Sauzi uruhusiwi kutembeza gari lililonunuliwa ni lazimaa libebwee
Kwa uzoefu wangu,Magari ya Kisouth Africa sio rafiki kwa mtu anayenza maisha.Onaonekana una uzoef na south
Sasa hebu tupe uzoef wa ndinga zinazopatikana huko uimara wake na ni aina gan watu wanzipendelea sn kwa huku bongo
Na je suala la kod nalo lipoje unapotoa ndinga huko south
Nadhan wengi tunataka agiza magari south lkn bado hatuna elimu kubwa sn ya magari mengi yanayopatikana huko pengine na je kujua kwa bei za kawaida unaweza vuta ndinga kwa kias gan
Nadhan nimekupa oa kuanzia
Karibu tufanye wote kazi,ukiagiza Gari SouthAfrica unalipata ndani ya week moja tu.
Amina, karibu sana.Mungu akusimamie ufike mbali mkuu
shukran sn kakaKwa uzoefu wangu,Magari ya Kisouth Africa sio rafiki kwa mtu anayenza maisha.
Nfano unaweza kununua Lend Rover Discovery 3 kwa bei ya 15ml pamoja na usafiri,ukalipia ushuru 17ml jumla 35ml,likizingua buster zake linagoma kunyanyuka juu likishuka chini linataga mazima uwezi kulitoa ,bei ya buster 4 hapo dar nikati ya 4ml lakini ukifunga mkataba unaweza tumia zaidi ya miaka minne.
Kama unaanza maisha bora ukaangalia Japan spare zake zipo nyingi used pale ilala na mikoani, bei zake ni ndogo ukilinganisha na spare za Land Rover,Ford au 4Turner na Hilux . Pia Spare za Toyota za kisouth zinagoma kuingilina na Toyota ya Japan.
Magari ya kisouth spare zake hapo dar zipo nyingi pia, lakini sio bei rafiki kwa watu wenye kipato kidogo.
Kwenye ubora,ugumu, confability magari ya kisouth ni magumu sana mazuri,yametengezwa kulingana na mazingira ya barabara zetu za kiafrica ukilinganisha na magari ya Kijapan.
Hongera kwa kubuni jambo jema sana na litakalowaparia kipato halali na safi kabisa, hapo zambia nasikia dumper zina bei nzuri na ndogo sana, tengenezeni network mpaka na gharama za tra, yaani clearance fee, mtakapokuwa na jedwali la gharama kwa ujumla wake itasaidia wengi kujua in and out, kazi njema.Kama umenunua Gari lako South Africa,unatafuta Dereva mzoefu wakulileta popote ulipo kwanjia ya barabara niko hapo.
Nchi tunazosafurisha Magari.
1. Kenya
2.Uganda
3.Rwanda
4.Burundi
5.Zambia
6.Malawi
7.Congo DRC
8.Tanzania
Ducoments muhumu:
1.Interpol,
2.Sadc
3.Police clearance
4.Export permit
Kujua gharama za mafuta kutoka SA na gharama nyingine za njiani nitajie aina ya Gari.
Njia nazopita
1. Botswana
2.Zambia
Boda
1.Koffonten South Africa West
2.Kazungura Zambia
3.Tunduma Tanzania
4.Kasumbalesa
5.Kobero
Pia kama unataka kitu chochote kutoka SouthAfrica niambie nakununulia na kusafirisha pia.
Kwamaelezo zaidi nicheki whatspp +27 71 821 9244View attachment 2755903
Hii sio chini ya 35 ml,bei ya manunuzi usafiri na Ushuru.Big bike used BMW gs1250 adventure bei inacheza ngapi? Na kodi tra tunduma inacheza ngapi?
Scania zinapatikana,bei inategemea na aina ya Scania km na mwaka,Horse,Dump,Box body,bei ni tofauti.Vipi Trucks kama Scania, Bei zake zikoje huko SA?
Sawa karibu sana.Ngoja ni save number YAKO muhimu sana mkuu . Maana nitahitaji Scania 114 tractor
✅👏👏👏🙏Kama umenunua Gari lako South Africa,unatafuta Dereva mzoefu wakulileta popote ulipo kwanjia ya barabara niko hapo.
Nchi tunazosafurisha Magari.
1. Kenya
2.Uganda
3.Rwanda
4.Burundi
5.Zambia
6.Malawi
7.Congo DRC
8.Tanzania
Ducoments muhumu:
1.Interpol,
2.Sadc
3.Police clearance
4.Export permit
Kujua gharama za mafuta kutoka SA na gharama nyingine za njiani nitajie aina ya Gari.
Njia nazopita
1. Botswana
2.Zambia
Boda
1.Koffonten South Africa West
2.Kazungula Zambia
3.Tunduma Tanzania
4.Kasumbalesa
5.Kobero
Pia kama unataka kitu chochote kutoka SouthAfrica niambie nakununulia na kusafirisha pia.
Kwamaelezo zaidi nicheki whatspp +27 71 821 9244View attachment 2755903
Kwa TOYOTA LAND CRUISER (double cabin pick up):Kama umenunua Gari lako South Africa,unatafuta Dereva mzoefu wakulileta popote ulipo kwanjia ya barabara niko hapo.
Nchi tunazosafurisha Magari.
1. Kenya
2.Uganda
3.Rwanda
4.Burundi
5.Zambia
6.Malawi
7.Congo DRC
8.Tanzania
Ducoments muhumu:
1.Interpol,
2.Sadc
3.Police clearance
4.Export permit
Kujua gharama za mafuta kutoka SA na gharama nyingine za njiani nitajie aina ya Gari.
Njia nazopita
1. Botswana
2.Zambia
Boda
1.Koffonten South Africa West
2.Kazungula Zambia
3.Tunduma Tanzania
4.Kasumbalesa
5.Kobero
Pia kama unataka kitu chochote kutoka SouthAfrica niambie nakununulia na kusafirisha pia.
Kwamaelezo zaidi nicheki whatspp +27 71 821 9244View attachment 2755903
Ingekuwa vizuri ukinipata taarifa zifutazo:Kwa TOYOTA LAND CRUISER (double cabin pick up):
1. Itahitaji wastani wa mafuta kiasi gani mpaka kutoka S. A hadi Ngara mkoani Kagera?
2. Itakuchukua siku ngapi kulifikisha Ngara?
3. Malipo yako ni shilingi ngapi? (makisio, si lazima iwe actual figure).