Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Rais Magufuli leo analifungua bunge la 12 rasmi kwa kulihutubia taifa.
Watanzania wameisubiri kwa hamu siku hii ili wamsikie kiongozi mkuu wa nchi baada ya ushindi mkubwa aliopata kwenye uchaguzi mkuu.

Tukio hili litakuwa mubashara kwenye runinga zote za ndani.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani kutakuwa na wasanii wa bongo fleva humo?

Kwanza akajifunze demokrasia huko Kenya
 
Habari mpya ni maslahi ya watumishi wa uma
..

Kitu ambacho hawezi kizungumza.. Kutokana na roho yake mbayaa..
 
Mungu Baba fanya muujiza wako akiwa live apatwe na lolote ( ila abaki hai auone utukufu wako) liwe somo kwa ubaguzi na kuharibu umoja na ustawi wa taifa letu.Amina
 
Kuna Mtanzania anajipanga kuhutubia bunge la ULAYA atakua ni Mtanzania wa kwanza na muafrika wa tatu baada ya Mandela na Koffi Anan.

jiwe anajiandaa kihutubia Halmashauri kuu ya CCM.

Wapi na wapi
 
Back
Top Bottom