Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,831
- 4,586
Salaam Wakuu,
Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi
Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au sehemu za mazoezi,
Uzi huu umezingatia sana ratiba ya watu. Hivyo, nitakuwa nikiweka clips fupifupi zikionesha mazoezi rahisi ambayo mtu yoyote anaweza kufanyia nyumbani kwake.
Kama unayo clip pia weka hapa uzi huu ni wetu sote.
Katika kila clip ntayoweka fanya zoezi hilo kwa sekunde 30.
PIA SOMA: SoC 2021 - Afya: Unataka uanze kufanya mazoezi? Fuata hatua hizi...
Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi
Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au sehemu za mazoezi,
Uzi huu umezingatia sana ratiba ya watu. Hivyo, nitakuwa nikiweka clips fupifupi zikionesha mazoezi rahisi ambayo mtu yoyote anaweza kufanyia nyumbani kwake.
Kama unayo clip pia weka hapa uzi huu ni wetu sote.
Katika kila clip ntayoweka fanya zoezi hilo kwa sekunde 30.
PIA SOMA: SoC 2021 - Afya: Unataka uanze kufanya mazoezi? Fuata hatua hizi...