Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,031
- 2,632
Habari wapendwa poleni na majukumu naenda direct kwenye mada batch ya kwanza ya heslb imetoka Mungu si trump nami jina langu nikaliona sasa ndo Niko nasubilia ni asilimia ngapi ili sisi walala hoi ndugu wachange ili niweze kupata elimu ya juu. Hivi kama jina lako lipo kwenye heslb unaweza pata loan na boom au iko vipi ? Hapo.nawasilisha