Yes madameNje ya mada.
Hivi Karen ni mjamzito?
🤣🤣🤣 watu mmechoka term hii🙌🏿Yes madame
Na mie ndio kichanga chake niliye tumboni
Kwenda huko🤣.Yes madame
Na mie ndio kichanga chake niliye tumboni
Karen alimkataa ndugu yake huyo, huyo dada anafanana na gadna kuliko hata karenBinti mmoja wa pekee! Karen
Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.
Au Gardner hakumtambulisha kwa ndugu zake.
Ila pacha. Lol. 😂Yes madame
Na mie ndio kichanga chake niliye tumboni
Eleza kwa kirefu,mtoto anamkataaje mtoto wa babaakeKaren alimkataa ndugu yake huyo, huyo dada anafanana na gadna kuliko hata karen
😆😆Kwenda huko🤣.
Nimeona video akiwa msibani sasa nimeshindwa kuelewa lile ni tumbo la kawaida au kuna mtoii
😆😆I miss you twinnieIla pacha. Lol. 😂
ukakasi huu,Eleza kwa kirefu,mtoto anamkataaje mtoto wa babaake
Watu wana siri mno🤣😆😆
Mie pia nimeona baadhi ya video huko insta,kuna watu wanasema mimba imo
Hivi marehemu Gadner G Habashi alikua namtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren? Naulizia hivi kwa maana ndie anaepewa pole pekee kila mahali hasa kupitia mitandao ya kijamii.