Hivi marehemu Gadner G Habashi alikuwa na mtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren?

Binti mmoja wa pekee! Karen

Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.

Au Gardner hakumtambulisha kwa ndugu zake.
 
Binti mmoja wa pekee! Karen

Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.
Au Gardner hakumtambulisha kwa ndugu zake.
Karen alimkataa ndugu yake huyo, huyo dada anafanana na gadna kuliko hata karen
 
f321691ec79f7e957ce4ceaa1ea289fe.png
 
Back
Top Bottom