Siku nilipoachaUliacha lini?
Hiyo ndo siku uliyokufa.Siku nilipoacha
Macho yakiacha kuona tu. It last foreverHii ni hadi lini?
Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.
Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
GoodAsante mkuu kwa picha, ngoja tuiweke pale juu.
Mkuu umeshindwa kuvunja iyo code?!!Tabia ipo nyuma?
ni hadi kifoHii ni hadi lini?
Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.
View attachment 2983570