Na itabaki kuwa hivyo.Mwanaume ni mwanaume
Kutoka 20:14 imeandikwa usizini.Hii ni hadi lini?
Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.
Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
Hapo kwa mwanaume utaambiwa n... awe mwanamke au mwanaume mi nitageuka nyuma tu, ILI KUHAKIKISHA USALAMA WANGU!
... MPAKA SIKU NNAFUKIWA!
Dogo fanya kazi.Hii ni hadi lini?
Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.
Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?