Hili la bwana mdogo chasambi likawe funzo kwa wachezaji chipukizi wa ndani wanaotaka kucheza simba na yanga

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,399
13,005
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
 
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Jitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.

Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
 
Jitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.

Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
kichwa cha habri kimetaja yamga na simba sasa wewe umeshindwa kabis kuzuia hisia zako
 
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Wewe ndiye Dauda?
Naomba niseme wazi kuwa sikupendi kwa kuwa wewe ni mmoja wa wahuni wanaoharibu maendeleo ya soka nchi hii ili kwa gharama ya kujipatia kipato na umaarufu.

Umeanzisha ndondo cup kwa nia ovu ambayo naomba isifanikiwe.Unaongoza kampeni ya kushambulia viongozi wa TFF na unatamani premier league isiwe na nguvu kama mashindano yako ya ndondo basi tu ndio uwezo huna kwa sasa.

Domayo yuko wapi na mafanikio yake yakoje kwa sasa?Maana naye ulimshauri asisajiliwe hapa na Simba au Yanga!

Badala ya kuwa influence vijana ili upate pesa,ni bora ungeacha soko liamue kwani hata hapo Simba,hawapati nafasi kwa ajili ya mapungufu ya viongozi wa sasa na walimu wanaowaleta.Je hujawahi kuona vijana walioaminiwa Simba?
Acha hizo
 
Wewe ndiye Dauda?
Naomba niseme wazi kuwa sikupendi kwa kuwa wewe ni mmoja wa wahuni wanaoharibu maendeleo ya soka nchi hii ili kwa gharama ya kujipatia kipato na umaarufu.

Umeanzisha ndondo cup kwa nia ovu ambayo naomba isifanikiwe.Unaongoza kampeni ya kushambulia viongozi wa TFF na unatamani premier league isiwe na nguvu kama mashindano yako ya ndondo basi tu ndio uwezo huna kwa sasa.

Domayo yuko wapi na mafanikio yake yakoje kwa sasa?Maana naye ulimshauri asisajiliwe hapa na Simba au Yanga!

Badala ya kuwa influence vijana ili upate pesa,ni bora ungeacha soko liamue kwani hata hapo Simba,hawapati nafasi kwa ajili ya mapungufu ya viongozi wa sasa na walimu wanaowaleta.Je hujawahi kuona vijana walioaminiwa Simba?
Acha hizo
Pole sana mkuu maana umeandika kwa hisia sana kwa jinsi ulivyoandika inaonekana wew ni KACHEKA kutoa pale TIFUATIFUA
 
Mtoa mada avatar yake tu inaweza kuzuia misonyo,masononeko,jaziba na hata makasiriko ya kila namna hivyo mbumbumbu nafikiri hapa mmegonga mwamba..
 
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Yeye mwenyewe ameridhika kama Nkane!
 
Back
Top Bottom