Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,512
- 40,616
Nipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia.
Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii imempelekea kila siku jioni lazima alazimishe tuonane.
Tangu wiki iliyopita hataki kuniachia nafasi, akitoka kwenye shughuli zake ataniuliza niko wapi?.
Nitakapokuwepo atalazimisha aje, na baadaye tutaenda nyumbani na kufanya yetu mpaka asubuhi.
Mbaya zaidi amenipa vitisho, ikitokea amenifumania, yuko tayari wote tukose.
Sasa najiuliza, hii ni kuchanganikiwa au kunogewa kwenye mapenzi?
Sasa hivi yuko njiani anakuja
Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii imempelekea kila siku jioni lazima alazimishe tuonane.
Tangu wiki iliyopita hataki kuniachia nafasi, akitoka kwenye shughuli zake ataniuliza niko wapi?.
Nitakapokuwepo atalazimisha aje, na baadaye tutaenda nyumbani na kufanya yetu mpaka asubuhi.
Mbaya zaidi amenipa vitisho, ikitokea amenifumania, yuko tayari wote tukose.
Sasa najiuliza, hii ni kuchanganikiwa au kunogewa kwenye mapenzi?
Sasa hivi yuko njiani anakuja