Je, uliwahi kucheza Rafu kwenye mapenzi, au kuchezewa Rafu?

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Mar 11, 2023
344
558
Katika kumalizia, Holly day. Naweka mada ya kurifesh kidogo.

Ni hivi yaani Uliwahi kucheza Rafu Yoyote kwenye mahusiano ya kimapenzi?

Hapa c maanishi kwenye tendo bali ni kupindua meza, au kupinduliwa meza?

I'li niweze kueleweka naweka kisa changu cha kweli wala sio nimetoa mahali.

Nilisafiri kikazi kwenda Mkoa x,uliopo karbu ya Kati Kati ya nchi.

Kutokana na Nature ya Kazi yenyewe ilikuwa nikae zaidi ya mienzi 3 nikaona yafaa nimpate Mrembo mmoja wa kudum hapo kwenye huo' Mkoa I'li kubadilishana mawazo na kutuliza hasira za jogoo likiwika.

Basi Maeneo ya kazini Nilifanikiwa kuona Pisi mojà Matata kiasi chake sio Sana maana wanawake wanazidiana viwango unaweza kusema beyonce ni mzuri kumbe ukienda tu hapo UD au IFM wapo wanao mkalisha.🤗

Sasa ikawa alikuwa na Rafiki yake wa kike mjanja mjanja kidogo anatokea makabila ya watu waerefu kidogo.

Ile Pisi ckujua kabila lake..maana nilianza kumwaproach direct ikawa analeta maringo, nikamwomba namba ya simu akanipa ila akiwa anachati na mm yupo na yule mjanja mwenzake, Akiwa ananipigia simu yuko naye.

Sasa kuna siku nilimtumia sms Akajibu kisha akaniambia tuhamie kuchati kwenye namba hii...namba nyingne mpya kabisa.

Hivyo tukaanza charting kwenye hiyo namba mpya Ambayo ipo very fast, ukituma sms unajibiwa fasta, ukichelewa kujibu una ulizwa why, ukikaa kimya Sana unatafutwa kupitia hiyo namba okay nikafurahi charting na Mawasiliano ila kuna Saa nilikuwa natuma sms kwenye ila namba ya zamani haijibiwi kwa haraka au baadae unaulizwa mbona ckuelewi hivyo nikaona isiwe kesi nibaki kwenye namba mpya tu.

Sasa kila nikijitahidi kumwona live yuko na yule Rafiki yake Muda wote'

Ukiwakuta tunapo salimiana Rafiki yake yupo charming kuliko yeye so

Nikaona isiwe tabu nimuulize tu mbona tukionana upo so cool ?
Akajibu kwani unajua hii namba ni ya Nani?

Nikamjibu c namba ya...tusema jina ni .. Lisa?

Akasema No mm ni Shakira...sio jina halisi.

Lisa aliomba acharti na ww kupitia namba yangu maana Ana mtu wake hivyo hataki zile sms azikute kwake!

Hivyo nikampa basi ndio anatumia na aliomba nimjibie nyingne pia.

Basi Baada ya kusema vile moyo ukashuka sikufurahishwa Tena na Lisa.

Ndipo shakira siku Mojà shakira akutuma ujumbe wa sms akasema Nakuja maeneo ya huko Hotelin maana nilikuwa nimeshukia Hotelin nao watu kazin walikuwa wanajua Hilo.

kama upo nitakupitia tuongee.
So nikamwambia karbu.

Shakira alikuwa sio mbaya ila ni mjanja janja tu na mm aikupenda yeye Mara nilipo mwona nilimpenda lisa zaidi kwaajili urembo wake cjui labda.
So kwa kumalizia.

Shakira Alipindua Meza Nikajikuta yeye ndio kawa Rafiki yangu na yule Lisa nikampotezea mdogo mdogo.
Sikuwa na jinsi maana alikuwa kashikwa Akili na mwenzake so nisingeweza kumweleza chochote nije kuharbu Kazi bure.
Moral of the story.

Uliwahi kuchezewa Rafu kwenye mapenzi kama hiyo?

Au kucheza Rafu?

Nini kilipelekea?
 
sasa hapa Kuna rafu gani mkuu.
ngoja niishie hapa

sasa hapa Kuna rafu gani mkuu.
ngoja niishie hapa
Naanza kuamini wabongo wengi' wapo na low IQ...maana Rafu niliyochezewa ni kwamba yule ambae nilimpenda kuwa nae , alikuwa yuko Tayari sema' Akili zake aliitegemea ushauri wa Rafiki yake na Huyo Rafiki yake alikuwa , amehamisha Mawasiliano kutoka niliye kuwa na lengo naye hadi kuanza kuchati na kuwasaliana naye for long time, hivyo navyokuja kugundua tiyari nilishajenga bond naye kupitia simu so sikuweza kuhama Tena na Hata ukisema uhame yule pisi nzuri Akili yake haina maamuzi...anasaidiwa kuamulia na shost yake...cjui sha eleweka hadi hapo.
 
Nilimpenda Rose akaringa rafiki yake Anna akaja akaniambia achana naye huyo rafiki yangu ana mashauzi sana.. Njoo nikuliwaze shem.. Nikapita na Anna.. Kesho yake Rose anakuja mkali kama mbogo.. Yaani kukuzingua kidogo tu ndo ukapita na rafiki yangu sijapenda.. Nikampoza naye nikapita naye.. Wiki moja baadae wakaja wote mida ya jioni kwenye lodge niliyofikia.. Wakaniambia leo tunalala wote hapahapa.. Sisi ni wake zako.. Dah nilichoka.. Yanatokea sana haya..
 
Katika kumalizia, Holly day. Naweka mada ya kurifesh kidogo.

Ni hivi yaani Uliwahi kucheza Rafu Yoyote kwenye mahusiano ya kimapenzi?

Hapa c maanishi kwenye tendo bali ni kupindua meza, au kupinduliwa meza?

I'li niweze kueleweka naweka kisa changu cha kweli wala sio nimetoa mahali.

Nilisafiri kikazi kwenda Mkoa x,uliopo karbu ya Kati Kati ya nchi.

Kutokana na Nature ya Kazi yenyewe ilikuwa nikae zaidi ya mienzi 3 nikaona yafaa nimpate Mrembo mmoja wa kudum hapo kwenye huo' Mkoa I'li kubadilishana mawazo na kutuliza hasira za jogoo likiwika.

Basi Maeneo ya kazini Nilifanikiwa kuona Pisi mojà Matata kiasi chake sio Sana maana wanawake wanazidiana viwango unaweza kusema beyonce ni mzuri kumbe ukienda tu hapo UD au IFM wapo wanao mkalisha.🤗

Sasa ikawa alikuwa na Rafiki yake wa kike mjanja mjanja kidogo anatokea makabila ya watu waerefu kidogo.

Ile Pisi ckujua kabila lake..maana nilianza kumwaproach direct ikawa analeta maringo, nikamwomba namba ya simu akanipa ila akiwa anachati na mm yupo na yule mjanja mwenzake, Akiwa ananipigia simu yuko naye.

Sasa kuna siku nilimtumia sms Akajibu kisha akaniambia tuhamie kuchati kwenye namba hii...namba nyingne mpya kabisa.

Hivyo tukaanza charting kwenye hiyo namba mpya Ambayo ipo very fast, ukituma sms unajibiwa fasta, ukichelewa kujibu una ulizwa why, ukikaa kimya Sana unatafutwa kupitia hiyo namba okay nikafurahi charting na Mawasiliano ila kuna Saa nilikuwa natuma sms kwenye ila namba ya zamani haijibiwi kwa haraka au baadae unaulizwa mbona ckuelewi hivyo nikaona isiwe kesi nibaki kwenye namba mpya tu.

Sasa kila nikijitahidi kumwona live yuko na yule Rafiki yake Muda wote'

Ukiwakuta tunapo salimiana Rafiki yake yupo charming kuliko yeye so

Nikaona isiwe tabu nimuulize tu mbona tukionana upo so cool ?
Akajibu kwani unajua hii namba ni ya Nani?

Nikamjibu c namba ya...tusema jina ni .. Lisa?

Akasema No mm ni Shakira...sio jina halisi.

Lisa aliomba acharti na ww kupitia namba yangu maana Ana mtu wake hivyo hataki zile sms azikute kwake!

Hivyo nikampa basi ndio anatumia na aliomba nimjibie nyingne pia.

Basi Baada ya kusema vile moyo ukashuka sikufurahishwa Tena na Lisa.

Ndipo shakira siku Mojà shakira akutuma ujumbe wa sms akasema Nakuja maeneo ya huko Hotelin maana nilikuwa nimeshukia Hotelin nao watu kazin walikuwa wanajua Hilo.

kama upo nitakupitia tuongee.
So nikamwambia karbu.

Shakira alikuwa sio mbaya ila ni mjanja janja tu na mm aikupenda yeye Mara nilipo mwona nilimpenda lisa zaidi kwaajili urembo wake cjui labda.
So kwa kumalizia.

Shakira Alipindua Meza Nikajikuta yeye ndio kawa Rafiki yangu na yule Lisa nikampotezea mdogo mdogo.
Sikuwa na jinsi maana alikuwa kashikwa Akili na mwenzake so nisingeweza kumweleza chochote nije kuharbu Kazi bure.
Moral of the story.

Uliwahi kuchezewa Rafu kwenye mapenzi kama hiyo?

Au kucheza Rafu?

Nini kilipelekea?
Yes, nilimuingiza demu kinyume na maumbile ikawa mazoea baada ya kuunguzwa na kinyesi chake ile mara ya kwanza. Leo hii nikichapa demu sisikii harufu ya mavi naomba kurudishiwa hela zangu.
 
Nilimpenda Rose akaringa rafiki yake Anna akaja akaniambia achana naye huyo rafiki yangu ana mashauzi sana.. Njoo nikuliwaze shem.. Nikapita na Anna.. Kesho yake Rose anakuja mkali kama mbogo.. Yaani kukuzingua kidogo tu ndo ukapita na rafiki yangu sijapenda.. Nikampoza naye nikapita naye.. Wiki moja baadae wakaja wote mida ya jioni kwenye lodge niliyofikia.. Wakaniambia leo tunalala wote hapahapa.. Sisi ni wake zako.. Dah nilichoka.. Yanatokea sana haya..
🤣🤣 Wewe ndio umeelewa huu uzi..wengne wanasema hawajaelewa .
 
Back
Top Bottom