Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 320
- 318
Shirika la umeme Tanzania wakati mwingine mnalipa fidia kwa uzembe, au kusababisha hasara na majeruhi kwa kutofanya ukaguzi kwenye nguzo za umeme. Mfano tazama nguzo hiyo ilivyooza.
Kata ya msamala mtaa wa miembeni.
Unaweza kuipiga picha kwa upana ili ijulikane ipo miembeni sehemu gani?Kata ya msamala mtaa wa miembeni.