Hii inaonesha uzembe wa kukagua miundombinu

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
320
318
Shirika la umeme Tanzania wakati mwingine mnalipa fidia kwa uzembe, au kusababisha hasara na majeruhi kwa kutofanya ukaguzi kwenye nguzo za umeme. Mfano tazama nguzo hiyo ilivyooza.

IMG_20240507_135311.jpg
 
Back
Top Bottom