Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Mwaka 1995 Jakaya Kikwete akijifanya ni masikini na Edward Lowassa akinukia noti,walisindikizana kychukua fomu za kugombea urais,nyuma yao akiwepo king maker Rostam Aziz na Samuel Sitta,
Lowassa aliamua kukodi ndege binafsi chini ya captain Minje baba yake Lilian,walizunguka Tanzania nzima kusaka wadhamini,walikuwa na miaka 42 kwa 45 mtawalia,
Wakajiita Boys II Men.
Aliyekodi ndege ni Lowassa Jk alipewa lift tu,makubaliano ni kuwa yeyote ambaye angepita amteue mwenzake kuwa wqziri mkuu ,na baada ya miaka kumi huyo waziri mkuu agombee urais,hapa ni kama Putin na medinedev wanavyofanyaga.

Taarifa zikamfikia mwalimu Nyerere kuwa kijana Lowassa anagawa pesa kama njugu na amekodi ndege,na akaambiwa anaambatana na mtoto wa rafiki yake marehemu Mrisho Kikwete ,yaani Jakaya .
Mwalimu akamuita Jakaya Msasani ili kumuonya akae mbali na EL,
JK bila kutambua akampa lift EL kwenye gari aina ya Ssang yong Musso mpaka msasani.
Taarifa zikamfikia mwalimu kuwa Jk kaja na EL,mwalimu akajifanya anatoka nje kwa hasira na kumfokea kuwa amechelewa appointnent atoweke haraka mahali hapo kufumba na kufumbua.Jk kwa shingo upande akaondoka bila kujua sababu,
Mwalimu akidhani JK amegundua kosa lake,kumbe wapi,kwenye vikao vya mchujo Jk uso kwa uso tena na mwalimu,na akaulizwa if you brcome a president who gonna be your prime minister,JK akayakoroka kwa kusema Edward Lowassa,mwalimu akamwambia asante kwa kushiriki,jina la JK likakatwa kibabe na akapachikwa Benjamin Mkapa.
Matumizi makubwa ya pesa katika kusaka madaraka yalimponza EL.
.....,....Itaendelea
Kwa sababu mwenye ashafariki mengi mtaandika
 
Chanzo cha pesa za Lowassa zilikuwa ni nini?
Alianza kidogo kidogo akiwa CCM mikoani.aliposhinda ubunge 1990 na kuwa ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa alizipiga kweli,akiwa ardhi ndio balaa kajimilikisha ardhi na viwanja vingi sana prime areas,kaingia mikataba ya kimagumashi sana,aliwahi kumtapeli hadi john malecele mgawo wa rushwa,malecela skiwa bosi wake,jamaa slikuwa fisadi kweli sio uongo
 
Alianza kidogo kidogo akiwa CCM mikoani.aliposhinda ubunge 1990 na kuwa ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa alizipiga kweli,akiwa ardhi ndio balaa kajimilikisha ardhi na viwanja vingi sana prime areas,kaingia mikataba ya kimagumashi sana,aliwahi kumtapeli hadi john malecele mgawo wa rushwa,malecela skiwa bosi wake,jamaa slikuwa fisadi kweli sio uongo
Chuki zako hazisaidii kitu
 
Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana

kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili

Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda

ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu

Siasa ina mengi sana

Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome

JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui

ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera

ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais

ndie alie deal na Kighoma Malima n.k

pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana

Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao

Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao

JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Nyerere nae mnamtukuza sana,kwa hio Nyerere akikataa kitu ndio wote tukione hakifai,ni binadamu yule wkt mwingine na yeye alikua ana interest na mtu flani kwa maslahi yake,tusimuone Mtakatifu sana,nae alikua mjanja mjanja tu
 
Mwaka 1995 Jakaya Kikwete akijifanya ni masikini na Edward Lowassa akinukia noti,walisindikizana kychukua fomu za kugombea urais,nyuma yao akiwepo king maker Rostam Aziz na Samuel Sitta,
Lowassa aliamua kukodi ndege binafsi chini ya captain Minje baba yake Lilian,walizunguka Tanzania nzima kusaka wadhamini,walikuwa na miaka 42 kwa 45 mtawalia,
Wakajiita Boys II Men.
Aliyekodi ndege ni Lowassa Jk alipewa lift tu,makubaliano ni kuwa yeyote ambaye angepita amteue mwenzake kuwa wqziri mkuu ,na baada ya miaka kumi huyo waziri mkuu agombee urais,hapa ni kama Putin na medinedev wanavyofanyaga.

Taarifa zikamfikia mwalimu Nyerere kuwa kijana Lowassa anagawa pesa kama njugu na amekodi ndege,na akaambiwa anaambatana na mtoto wa rafiki yake marehemu Mrisho Kikwete ,yaani Jakaya .
Mwalimu akamuita Jakaya Msasani ili kumuonya akae mbali na EL,
JK bila kutambua akampa lift EL kwenye gari aina ya Ssang yong Musso mpaka msasani.
Taarifa zikamfikia mwalimu kuwa Jk kaja na EL,mwalimu akajifanya anatoka nje kwa hasira na kumfokea kuwa amechelewa appointnent atoweke haraka mahali hapo kufumba na kufumbua.Jk kwa shingo upande akaondoka bila kujua sababu,
Mwalimu akidhani JK amegundua kosa lake,kumbe wapi,kwenye vikao vya mchujo Jk uso kwa uso tena na mwalimu,na akaulizwa if you brcome a president who gonna be your prime minister,JK akayakoroka kwa kusema Edward Lowassa,mwalimu akamwambia asante kwa kushiriki,jina la JK likakatwa kibabe na akapachikwa Benjamin Mkapa.
Matumizi makubwa ya pesa katika kusaka madaraka yalimponza EL.
.....,....Itaendelea
Ni vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakaya Kikwete (Waziri wa Fedha)

JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.

Ni uongo kuonesha JK alionewa.

Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".

Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.

Wasalaam!
 
Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana

kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili

Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda

ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu

Siasa ina mengi sana

Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome

JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui

ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera

ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais

ndie alie deal na Kighoma Malima n.k

pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana

Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao

Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao

JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Kwani JK hakuwa mwana mtandao?

Ninapata hisia kuwa JK alimkata EL kwa kukumbuka maelekezo toka Nyerere.

Pili kumbe JK ameanza uharibifu kitambo na amekuwa sugu ikiwa ndiye alipewa;
Maelekezo kuhusu Monduli
Kuhusu Kighoma Malima nk
 
Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome
Niliona Ile hotuba kupitia TBC baada ya Mkapa kutangazwa mshindi 1995 Kikwete aliongea hotuba Moja mzuri sana. Kiasi Cha kufanya Mwalimu Nyerere asimame kupiga makofi na ukumbi mzima ukamfuta Nyerere kusimama na kupiga makofi. Marehemu Mkapa akakimbia kwenda kumkumbatia Jakaya kwa hisia kali kama mtoto anayenyonya aliyekosa kumuona mama yake siku mbili. Jakaya was matured but at that time Nyerere alikuwa sahihi juu ya kumpa Marehemu Mkapa. Jakaya alihitaji kukua zaidi.
 
Ni vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakarta Kikwete (Waziri wa Fedha)

JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.

Ni uongo kuonesha JK alionewa.

Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".

Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.

Wasalaam!
JK alimzidi BWM kwenye kura za mwisho ila akatangazwa BWM,maana hakuwa na makundi na aikuwa clean,tulichotangaziwa ni tofauti na yaliyotokea chumba cha kuhesabia kura
 
Back
Top Bottom