Miamba hii mitano ndio inayohusika kwa kiasi kikubwa zaidi na mwanzo hadi mwisho wa maisha ya kisiasa ya Edward Lowassa.
Edward Lowassa alianza maisha ya siasa katika mikono ya Mwalimu Nyerere akiwa kijana mdogo miaka ya 60's. Mwaka 1988 Lowassa alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha ampapo alifanya kazi nzuri chini ya serikali ya rais Mwinyi.
Tunajua tangu miaka ya 90 Lowassa alishika nafasi mbalimbali za juu za uongozi kama waziri chini ya rais Mkapa na baadaye kuwa waziri mkuu chini ya rais Kikwete kuanzia mwaka 2005.
Edward Lowassa alifikia kipeo cha juu kabisa cha maisha yake kisiasa alipojiunga na CHADEMA na kuamua kugombea urais mwaka 2015. CHADEMA chini ya uongozi wa Freeman Mbowe wamehusika sana kumfanya Lowassa ajulikane zaidi ndani na nje ya nchi. Kama alivyowahi kusema mwenyewe, Lowassa anasema ni ndani ya CHADEMA tu aliweza kugombea nafasi hiyo kubwa zaidi ya kisiasa nchini na kuweza kukusanya umati mkubwa wa washabiki.
Hongera walezi wa Lowassa kisiasa, hongera Mbowe kwa kuwa mlezi wa Lowassana kumfikisha kwenye ndoto yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Ni matumaini yangu kuwa upo kwenye right track, songa mbele na mapambano kazi yako inaonekana.
Edward Lowassa alianza maisha ya siasa katika mikono ya Mwalimu Nyerere akiwa kijana mdogo miaka ya 60's. Mwaka 1988 Lowassa alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha ampapo alifanya kazi nzuri chini ya serikali ya rais Mwinyi.
Tunajua tangu miaka ya 90 Lowassa alishika nafasi mbalimbali za juu za uongozi kama waziri chini ya rais Mkapa na baadaye kuwa waziri mkuu chini ya rais Kikwete kuanzia mwaka 2005.
Edward Lowassa alifikia kipeo cha juu kabisa cha maisha yake kisiasa alipojiunga na CHADEMA na kuamua kugombea urais mwaka 2015. CHADEMA chini ya uongozi wa Freeman Mbowe wamehusika sana kumfanya Lowassa ajulikane zaidi ndani na nje ya nchi. Kama alivyowahi kusema mwenyewe, Lowassa anasema ni ndani ya CHADEMA tu aliweza kugombea nafasi hiyo kubwa zaidi ya kisiasa nchini na kuweza kukusanya umati mkubwa wa washabiki.
Hongera walezi wa Lowassa kisiasa, hongera Mbowe kwa kuwa mlezi wa Lowassana kumfikisha kwenye ndoto yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Ni matumaini yangu kuwa upo kwenye right track, songa mbele na mapambano kazi yako inaonekana.