Mleta mada amegusia matatizo yanayoukabili uislamu,wakristu wanaitwa makafir ila wao hawajawahi kuwaita waislamu jina lolote,wachungaji, mapadre na maaskofu wana kiwango bora cha elimu na hivyo wanahubiri upendo,amani na mshikamano,tofauti na wenzetu wanaohubiri sisa za chuki na umwagaji damu.TUACHE CHUKI,TUJADILI MATATIZO YETU NA CHANGAMOTO ZETU KAMA TAIFA.HONGERA SANA MLETA MADA.