Hauwezi pambana na intel ya USA. Jamaa wanajua kile unachotaka kuwafanyia na kama hawajui watakupata tu baada ya kuwafanyia

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,328
4,053
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi ilikuwa ishasema ndani ya masaa 24 au 48. Kilichotokea kiliendana sawa sawa na kauli za viongozi wa Marekani.

Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.

Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.

Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.

Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.
 
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi ilikuwa ishasema ndani ya masaa 24 au 48. Kilichotokea kiliendana sawa sawa na kauli za viongozi wa Marekani.

Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.

Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.

Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.

Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.
Havaa dera watabisha wataishia kusema ushoga ushoga
 
Mleta mada, tupo ndani ya matrix hivyo unayoyaona yote yanayoendelea duniani yameshapangwa tokea zamani na wakubwa wa Dunia.

Irani na Israeli sio maadui Kama tunavyoaminishwa maana taifa la Israeli inayokaliwa na wayahudi feki wa kizungu pamoja na Irani ya ayatollah. Mataifa yote hayo yamewekwa ili kutimiza ajenda za wakubwa wa Dunia.

Aliyekuwa mfalme wa Irani marehemu shah hakuwa mpumbavu alivyosema kwenye ndevu za ayatollah Khomeini pameandikwa made in UK, na aliyekuwa jasusi wa marekani Edward Snowden aliyekimbilia urusi hakuwa mpumbavu aliposema kuwa Osama bin laden ni CIA ambaye amekamilisha mission aliyopewa na Sasa yupo anakula Bata.
 
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi ilikuwa ishasema ndani ya masaa 24 au 48. Kilichotokea kiliendana sawa sawa na kauli za viongozi wa Marekani.

Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.

Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.

Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.

Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.
Ilikuwa wazi kiwa Iran atashambulia. Yani ni sawa uwe unavuka mwenge mataa usiku ukiwa umefumba macho nikwambie utagongwa na ukishagongwa useme jamaa ni nabii
 
Sio kweli
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi ilikuwa ishasema ndani ya masaa 24 au 48. Kilichotokea kiliendana sawa sawa na kauli za viongozi wa Marekani.

Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.

Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.

Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.

Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.
Iran hakuwataka mzozoz mpana, ndio maana kwenye kulipiza kisasi dhidi ya Kifo Cha Soleiman Kamanda wa Quds , walitoa taarifa Kwa Jirani ,.walijua Jirani watafikisha taarifa Kwa Marekan.

Pia hii juzi, walitoa taarifa Kwa Jirani ,Jirani wakafikisha taarifa .

Ili wamarekan wajiandae, na waliionya kua ikiingilia tuu, basi watapiga Bass zote za US.



Kama Intelligence ya Marekan ingekua Makini , basi wangelipata hili la Matumizi ya HYPERSONIC MISSILES , ..Marekan na Washirika wake, wali miscalculate wakajua Iran Shambulio lake lingekua la Drones, Ballistic na Cruse missiles, lkn wairan wakatumia Tactics za Warusi.

Wakatumia Ballistics na Cruses, Drones kuhakikisha Wamagharibu wanatumia Resources nyingi Kwa hizo Bosheniii

Alafu wakarusha Hypersonic Saba, ambazo zilipenyeza Moja kwa Moja .



Kama hiyo halitoshi ... Siwahungi mkono HAMAS ... Ila ukweli ni kua Intelligence ya Israel , Marekan ilifeli sana Kwa kushindwa ku anticipate SHAMBULIO LA HAMASI LA OKTOBA 7.


Kwa Ufupi, kwenye Dunia ya Ujasusi, kadiri unavyojifanya umekua kiteknolojia, ndivo ambavyo Kuna vacuum ya kupigwa na kitu kizito !!!.
 
Back
Top Bottom