Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,328
- 4,053
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi ilikuwa ishasema ndani ya masaa 24 au 48. Kilichotokea kiliendana sawa sawa na kauli za viongozi wa Marekani.
Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.
Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.
Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.
Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.
Kutokana na chuki mliyonayo juu ya Marekani wanajitahidi katika kundi lenu la waru 10 lazima awe na mmoja ambae anawapa taarifa na kama hatapata mmoja wenu basi atatengeneza mwingine wa kufanana na nyie ili alijiunge na asipopata huyo stranger wa kuweza kuwaingia basi atatengeneza kundi la kupambana na nyie politically au militarily.
Hawa jamaa wanahakikisha katika kila Intelligence agency ya kila nchi lazima wawe na mtu mule wa kuwapatia details zozote zinazowahusu wao na wanachi wao wanaoishi katik nchi hio.
Wanawekeza pakubwa katika ulinzi na inteligensia maana wanajua wana upinzani mkubwa sana.
Kama unawabeza hawa jamaa na kutishia usalama wao nenda ka-google kuhusu Faisal bin Abdulaziz Al Saud aliegoma kuwauzia mafuta kisa walikuwa wana support Israel dhidi ya Palestine.