jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,832
- 7,744
Angezirudisha na Mahakamani angepelekwa,unacheza na Jiwe!!Vipi kama angezichukua? Pia angepigiwa cm azirudishe?
Angezirudisha na Mahakamani angepelekwa,unacheza na Jiwe!!Vipi kama angezichukua? Pia angepigiwa cm azirudishe?
Hahaaa mna waandama wahaya ninyi kwa nn lakini? Akitabasamu tu tayar asha onekana ni sifaFanya kazi Inno. Acha sifa za kihaya.
Wahaya hatuzeeki haraka umri na mionekano yetu ni tofauti sana fanya utafiti kisha njoo hapa ulike hii comment yangu.Kama ni kweli basi hongera kwake, nimekuwa nikijiuliza sababu ya yeye kupanda vyeo harakaharaka sikuwa nikiijua.
Ila katika mambo huwa ananishangaza ni muonekano wake ambao ni tofauti na umri wake, anaonekana mdogo sana ingali ana umri mkubwa!
Hawa wote wangesosomola fuko la pesa kabla hata tajiri hajatoka njeJe mtego wa namna hii?, mbowe, sugu, lema, lissu jinsi wanavyopenda fedha na majumba makubwa wangeliziacha?
Kosa letu nini au kwa sababu hatuna siasa za kiswahili??Stori za kupamba kuelekea 2025. Ila tumekoma kuchukua mgombea toka hiyo Kanda
Kuna mswahili kuliko Jiwe?Kosa letu nini au kwa sababu hatuna siasa za kiswahili??
Naona kiswahili kigumu sana kwako.Kuna mswahili kuliko Jiwe?
Mswahili kuzidi waswahili wenyewe. Alikua anachamba kuliko taarabNaona kiswahili kigumu sana kwako.
jiwe mswahili?????
Wahaya hatuzeeki haraka umri na mionekano yetu ni tofauti sana fanya utafiti kisha njoo hapa ulike hii comment yangu.
Kawaulize wakazi wa kanda ya ziwa walimpa nini Lissu alipowatetea hadi wakalipwa na Barrick mwaka 1998?Je mtego wa namna hii?, mbowe, sugu, lema, lissu jinsi wanavyopenda fedha na majumba makubwa wangeliziacha?
Bwana inno alifanya ziara kusini huko liwale kucheki maafa ya mafuriko, ile amepanda jukwaani kulikuwa na mbibi mmoja hapo pembeni ya jukwaa akamsalimia kwa kumpa mkono kisha akambless na buku ten, nilifurahia sana hilo tendo la kumjali myongeHutomsikia Inno akimsema magufuli vibaya au kutukana viongozi wengine yeye hutimiza yanayomuhusu basi, na ni kiongozi alietuliza kichwa sa
Nini January,Makondaje?naona angehama nchi kabisaaaaJanuary angeziacha?