Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,721
- 12,584
Kuna Mdada nimeona mtandaoni anasema "wanaume siku hizi hawatongozi, wanatafuta shida yako ni nini, anakaa, anakukula, anasepa".
Ningependa kumwambia kuwa hao wanaume ni Madomo Zege na midomo yao ni mizito kutongoza ndio maana wanatumia mbinu za namna hiyo.
Wanaume tunaojielewa huwa hatupotezi muda na pesa kwenye mahusiano Temporary.
VIDEO
Ningependa kumwambia kuwa hao wanaume ni Madomo Zege na midomo yao ni mizito kutongoza ndio maana wanatumia mbinu za namna hiyo.
Wanaume tunaojielewa huwa hatupotezi muda na pesa kwenye mahusiano Temporary.
VIDEO