Fanya kama umefunga vile.Mimi nahitaji msaada wa haraka tokea asubuhi sijatoka , kazini sijaenda, sina hata mia, sijui nitakula nini, na mvua inaendelea kunyesha na siku inakaribia kuisha.
Mimi nahitaji msaada wa haraka tokea asubuhi sijatoka , kazini sijaenda, sina hata mia, sijui nitakula nini, na mvua inaendelea kunyesha na siku inakaribia kuisha.
Kazi yangu ni ya nje ndugu yangu, kazi za ujenzi na mvua haiziendi kabisaMvua inakuzuia usiende kazini? Acha uvivu
Labda km ofisi yako ni eneo la wazi
Kwanini hukuweka akibaKazi yangu ni ya nje ndugu yangu, kazi za ujenzi na mvua haiziendi kabisa
Pole sana mkuu, pesa yote ukannua bundle uperuzi jamii forum sioKazi yangu ni ya nje ndugu yangu, kazi za ujenzi na mvua haiziendi kabisa
Bando la jero ndugu yangu! Asante lakini.Pole sana mkuu, pesa yote ukannua bundle uperuzi jamii forum sio
Najua unasema isio kweli😔 mvua inanyeshaje weekend jamani
Mpaka nimetamani ningekua Married at🙃
🤔au basi wacha inyeshe
Akiba ngumu bro kibongo bongo, leo sijafanya kazi kutwa nzima sijui kesho, kesho kutwa unapata kazi labda utalipwa 20000, unadaiwa juzi jana na leo hio akiba utaweka vipi ndugu yangu.Kwanini hukuweka akiba
Unasemaaa???🤔Najua unasema isio kweli
Unatudanganya kusema hujaolewa!Unasemaaa???🤔
Nawadanganya wewe na nani 🤣🤣Unatudanganya kusema hujaolewa!