Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,793
- 71,397
Kwamba?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Kwamba?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Sasa wewe unatakaje mbusii weweeeHata ukinywa maziwa utadafanja tu
Hivi Janab ana mke? Kwa mwili ule anaweza hata kupiga mashine round 3 yule? Hizi nyumba zina siri sanaDuniani tunapita aisee....hata ule mwili wa Janabi Kuna siku ya rest in peace itafika tu
RIP, brotherMtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
RIPMtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
We mbusiii. Lete hizo makitu tunywe umbwa weweSasa wewe unatakaje mbusii weweee
Dili nyingi michongo ya maana ya watu wenye akili inapatikana bar ,binafsi nilipata dili la kunitoa Tz nikiwa bar nakula safari baridi , wanywa vyoda lazima wawe na hasira wao soda moja tu ,tumbo limejaa🤣🤣🤣🤣Hawa ni mavichwa panzi wakinywa bia mbili wanazima ndio manake wanadharau pombe mzee wangu ana miaka 87 ananyonya Konyagi mwitu ambayo mi siezi
Ni kikundi Fulani tu chenye wivu na starehe za watu
Kweli asee ngoja hata nichukue Serengeti kubwa ya baridi hapa Arif!Dili nyingi michongo ya maana ya watu wenye akili inapatikana bar ,binafsi nilipata dili la kunitoa Tz nikiwa bar nakula safari baridi , wanywa vyoda lazima wawe na hasira wao soda moja tu ,tumbo limejaa🤣🤣🤣🤣
Kunywa bia,kunywa konyagi bugia zoteKama kawaida,duniani kwenyewe tunapita Tena niishi Kwa Uoga hapana,I'll live to the fullest....
Watakufa walevi wenzenu 😀Bia haiui kama pombe Kali,na ndio mana wanawake hawazipendi,wanataka mfe wamiliki majumba yenu
Kula vitu mkuu sengeti ipo poa sana haina sukari sana.Kweli asee ngoja hata nichukue Serengeti kubwa ya baridi hapa Arif!
Cheers man wangu
Punguza hasira kopite😅😅Watakufa walevi wenzenu 😀
Kutumia magari kunapunguza kufanya mazoezi .ni moja ya mambo yanayopelekea haya matatizo ya moyoKwenye magari inakuaje mkuu
Na ndivyo nifanyavyo...naanza na bia zikijaza tumbo nashushia Kasichana wee😋Kunywa bia,kunywa konyagi bugia zote
Punguza taratibu vigumu sana kuacha ulevi kwa haraka.Tunywe ngapi kwa siku.