kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,706
- 14,889
Match Day
#NBCPremierLeague
️ TZ PrisonsYoung Africans SC
11.02.2024
Sokoine
10:00 Jioni
Yanga wanaingia kwenye mchezo wao wa kukamilisha mzunguko wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons wakiwa na alama 37. Kileleni mwa ligi kuu Tanzania Bara.
Wameshinda Michezo 12, wamepoteza 1 na kwenda sare 1.
Wenyeji wao Tz Prisons wako nafasi ya 9 kwenye msimamo wakiwa na alama 17. Wameshinda Michezo 4. Sare 5 na Wamepoteza michezo 5.
Historia inaonyesha Kwenye michezo 29 iliyowakutanisha.
Prisons wameshinda mchezo 1. Wameenda sare mara 10.
Yanga wameshinda mara 18.
Inaweza kuwa game yenye ushindani kwa hali ilivyo katika ligi yetu.
HAPPY BIRTHDAY YOUNG AFRICANS SC
Kikosi cha Tz Prisons Kinachoanza.
Kikosi cha Yanga kinachoanza.
#DaimaMbeleNyumaMwiko#.
Mpira umeanza kwa kasi ndogo!
Unachezwa zaidi kati.
Dakika ya 03'
Mpira unaendelea.
0-0
Dakika 06'
Yanga wanapata kona, inapigwa haileti madhara. Inaondolewa na Prisons.
Dakika 07'
Gooooooooal...
Yanga wanapata goli zuri sana likifungwa na Mzize, kupitia assist safi sana kutoka kwa Pacome!!
0-1
Dakika 10'
Prisons wanapata kona, inapigwa inaondolewa.
Dakika 13'
Kuna mchezaji wa Prisons anapata injury kubwa kidogo.
Ambulance imesogezwa uwanjani.
Inawazekana ameumia sana.
Aligongana na Lomalisa.
Akajigonga kichwa.
Lomalisa anapewa kadi ya Njano!!
Dakika 16'
Linatokea shambulizi langoni mwa Prisons.
Mzize anakosa goli hapa.
Dakika 25'
Free kick inapigwa na Prisons inakuwa haina faida.
Dakika 27'
Free Kick nyingine kwa Prisons inapigwa inakuwa goli kick.
Dakika 33'
Chona wa Prisons anapata kadi ya njano.
Yanga wanapata free Kick haileti shida kwa Prisons.
Dakika 37'
Yanga wanapata kona haileti faida kwao.
Dakika 44'
Prisons wanapata kona, haileti faida kwao.
Yanga wanajaribu kufanya kaunta attack inazimwa.
Gooooli wamekosaa goli la wazi kabisa hapa Yanga.
Max Nzengeli anakosa goli la wazi kabisa kabisaa.
Dakika 45'
Nyongeza ni 4' kukamilisha kipindi cha pili.
Pacomeeeeee....Goliiiiiiii.
45+3'
Goli la pili kwa Yanga.
MAPUMZIKO....
0-2.
=========================
Kipindi cha Pili.
Dakika 47'
Mpira unaendelea timu zote zinacheza kwa mashambulizi ya kujihami hapa.
Kuna mabadiliko wamefanya Prisons. Kipindi hiki cha pili.
Dakika 56'
Metacha anacheza faulo hapa, inakuwa mkanganyiko kama faulo ama vipi.
Metacha anapewa Red
Dakika 63'
Farid Anatoka anaingia Msheri.
Free kick kwa Prisons nje kidogo ya 18.
Gooooli!!!
Mgunda anaipatia Prisons goli la kwanza.
1-2
Dakika 65'
Mayombya wa Prisons anapewa kadi ya njano.
Dakika 75'
Prisons wanapata free kick nje kidogo ya 18. Inapigwa haileti faida
Wakati huo wanafanya
Sub.
Mzize Out
Guede Inn
Dakika 79'
Yanga wanapata kona, inapigwa haiwapi faida yoyote.
Dakika 84'
Yanga wanapata free kick nje kidogo ya 18.
Haiwapi faida yoyote.
Dakika 86'
Kadi nyekundu kwa Mchezaji wa Prisons ameshika mpira kwa maksudi.
Azizi anapiga Free kick haileti faida.
Dakika 90'
Prisons wanapata kona hapa.
Anapiga wanakosa kosa hapa Prisons.
Dakika zilizoongezwa ni 7'
Full Time.
Prisons 1 -2 Yanga.
HAPPY ANNIVERSARY YANGA.
#NBCPremierLeague
️ TZ PrisonsYoung Africans SC
11.02.2024
Sokoine
10:00 Jioni
Yanga wanaingia kwenye mchezo wao wa kukamilisha mzunguko wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons wakiwa na alama 37. Kileleni mwa ligi kuu Tanzania Bara.
Wameshinda Michezo 12, wamepoteza 1 na kwenda sare 1.
Wenyeji wao Tz Prisons wako nafasi ya 9 kwenye msimamo wakiwa na alama 17. Wameshinda Michezo 4. Sare 5 na Wamepoteza michezo 5.
Historia inaonyesha Kwenye michezo 29 iliyowakutanisha.
Prisons wameshinda mchezo 1. Wameenda sare mara 10.
Yanga wameshinda mara 18.
Inaweza kuwa game yenye ushindani kwa hali ilivyo katika ligi yetu.
HAPPY BIRTHDAY YOUNG AFRICANS SC
Kikosi cha Tz Prisons Kinachoanza.
Kikosi cha Yanga kinachoanza.
#DaimaMbeleNyumaMwiko#.
Mpira umeanza kwa kasi ndogo!
Unachezwa zaidi kati.
Dakika ya 03'
Mpira unaendelea.
0-0
Dakika 06'
Yanga wanapata kona, inapigwa haileti madhara. Inaondolewa na Prisons.
Dakika 07'
Gooooooooal...
Yanga wanapata goli zuri sana likifungwa na Mzize, kupitia assist safi sana kutoka kwa Pacome!!
0-1
Dakika 10'
Prisons wanapata kona, inapigwa inaondolewa.
Dakika 13'
Kuna mchezaji wa Prisons anapata injury kubwa kidogo.
Ambulance imesogezwa uwanjani.
Inawazekana ameumia sana.
Aligongana na Lomalisa.
Akajigonga kichwa.
Lomalisa anapewa kadi ya Njano!!
Dakika 16'
Linatokea shambulizi langoni mwa Prisons.
Mzize anakosa goli hapa.
Dakika 25'
Free kick inapigwa na Prisons inakuwa haina faida.
Dakika 27'
Free Kick nyingine kwa Prisons inapigwa inakuwa goli kick.
Dakika 33'
Chona wa Prisons anapata kadi ya njano.
Yanga wanapata free Kick haileti shida kwa Prisons.
Dakika 37'
Yanga wanapata kona haileti faida kwao.
Dakika 44'
Prisons wanapata kona, haileti faida kwao.
Yanga wanajaribu kufanya kaunta attack inazimwa.
Gooooli wamekosaa goli la wazi kabisa hapa Yanga.
Max Nzengeli anakosa goli la wazi kabisa kabisaa.
Dakika 45'
Nyongeza ni 4' kukamilisha kipindi cha pili.
Pacomeeeeee....Goliiiiiiii.
45+3'
Goli la pili kwa Yanga.
MAPUMZIKO....
0-2.
=========================
Kipindi cha Pili.
Dakika 47'
Mpira unaendelea timu zote zinacheza kwa mashambulizi ya kujihami hapa.
Kuna mabadiliko wamefanya Prisons. Kipindi hiki cha pili.
Dakika 56'
Metacha anacheza faulo hapa, inakuwa mkanganyiko kama faulo ama vipi.
Metacha anapewa Red
Dakika 63'
Farid Anatoka anaingia Msheri.
Free kick kwa Prisons nje kidogo ya 18.
Gooooli!!!
Mgunda anaipatia Prisons goli la kwanza.
1-2
Dakika 65'
Mayombya wa Prisons anapewa kadi ya njano.
Dakika 75'
Prisons wanapata free kick nje kidogo ya 18. Inapigwa haileti faida
Wakati huo wanafanya
Sub.
Mzize Out
Guede Inn
Dakika 79'
Yanga wanapata kona, inapigwa haiwapi faida yoyote.
Dakika 84'
Yanga wanapata free kick nje kidogo ya 18.
Haiwapi faida yoyote.
Dakika 86'
Kadi nyekundu kwa Mchezaji wa Prisons ameshika mpira kwa maksudi.
Azizi anapiga Free kick haileti faida.
Dakika 90'
Prisons wanapata kona hapa.
Anapiga wanakosa kosa hapa Prisons.
Dakika zilizoongezwa ni 7'
Full Time.
Prisons 1 -2 Yanga.
HAPPY ANNIVERSARY YANGA.