kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,706
- 14,886
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza
Kazini kwetu kuna Kazi.
Kikosi Cha Mamelodi Sundowns Kinachoanza.
Mpira unaendelea kwa kasi .
Timu zinashambuliana kwa zamu hapa.
30' Mamelodi wanapata free kick nje kidogo ya 18.
Inapigwa inaishia mikononi kwa Diarra.
32' Guede anajaribu kupiga kick inakuwa goal kick.
37' Yanga wanapata kona, inapigwa na Aziz haileti faida yoyote.
Mamelodi wanakosa Goli, kwa kosa la Mkude. Diarra ameokoa.
Inakuwa kona, inapigwa haileti madhara.
40' Free kick wanapiga Mamelodi haileti madhara.
43' Yanga wanapata kona haileti shida kwa Wapinzani.
HT.
0-0
2nd Half.
45' yellow card inatoka kwa Max Nzengeli.
Mamelodi wanapata free Kick nje kidogo ya 18.
Anaipiga haileti tabu.
48' Ayende yellow Card.
90' Full Time...Hakuna mbabe.
Mshindi anaamuliwa kwa Changamoto ya Matuta.
Penalty...
Aziz anakosa
Mamelodi wanapata
Okraa ..Anapata
Sirino Anakosa...
Dickson Job...Amekosaaa
Costa ....Anapata
Joseph Guede.....Amepata!!